FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,059
- 40,723
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi', Tuskegee syphilis experiment - Wikipedia, Ushoga na 'Uzazi wa mpango' ambao huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.
Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.
Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la Kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!
Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!
Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.
===========================
Update: 07/07/2019
Rais Magufuli aniunga mkono leo wakati akimpokea Uhuru Kenyatta. Asema haya
"
Nchi zenye watu ndio zenye maendeleo makubwa. China na India zina watu wengi sana. Sisi Tanzania tupo Milioni 55 na kuzaliana sio shida. Watu wakiwa wengi uchumi unakua, bora kuwa na watu wengi wanaofanya kazi. Ndio maana nchi za Ulaya zinaungana"
===============================
===============================
=============================
Update: 06/09/2019
===============================
================================
Update: 22/09/2019
===============================
Update: 05/04/2020
Chanjo ya Corona
Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums
Hii chanjo ya Corona haitaletwa waziwazi maana wanajua tuneshawashtukia, hivyo wanaweza wakaileta kwa mifumo ya sindano za uzazi pamoja na chanjo zingine tulizozizoea, tuwe nao makini sana
==============================
UPDATE: 05/05/2020
Video: Sasa nazidi kuielewa kauli ya Rais “endeleeni kufyatua kwa kasi”, kama bado unaamini misaada toka kwa wazungu ni kwa sababu ya upendo - JamiiForums
===============================
===============================
Update: 14/01/2021
===============================
Update: 28/01/2021
==================================
Update: 02/2021
==================================
Update: 18/03/2021
=================================
Update: 23/04/2021
Baada ya kuona tunagomea chanjo ya Corona, sasa wamekuja na hii, wapige mpunga na kutimiza lengo lao kwa lazima
Update: 27/04/2021
Utafiti wabaini waAfrika weusi mimba zao zinaharibika kwa asilimia 40 zaidi ya watu wa asili nyingine. Kwanini? Tunalishwa nini? Tutafakari!
================================
Update: 11/05/2021
Eti UNFPA wanaumia sana wanawake wa KiAfrika wakishika mimba zisizotarajiwa?
================================
Update: 02/07/2021
=================================
Update: 28/07/2021
=================================
Update: 17/08/2021
=================================
Update: 24/09/2021
=================================
Update: 07/10/2021
Baada ya watu kushangaa chanjo ya Corona kupatikana kwa kasi ya ajabu huku ya Malaria ikichukua zaidi ya karne, ghafla, na chanjo ya malaria imepatika, WHO waidhibitisha 😂😂😂😂😂
==================================
==================================
=========================
==========================
===========================
Update: 04/04/2023
==========================
Update: 06/05/2023
Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.
Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la Kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!
Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!
Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.
===========================
Update: 07/07/2019
Rais Magufuli aniunga mkono leo wakati akimpokea Uhuru Kenyatta. Asema haya
"
Nchi zenye watu ndio zenye maendeleo makubwa. China na India zina watu wengi sana. Sisi Tanzania tupo Milioni 55 na kuzaliana sio shida. Watu wakiwa wengi uchumi unakua, bora kuwa na watu wengi wanaofanya kazi. Ndio maana nchi za Ulaya zinaungana"
===============================
Overpopulation: A problem or not?
Overpopulation is a major cause of most of the world’s problems. Whether it is a question of food shortage, lack of drinking water or energy shortages, every country in the world is affected by it – or will be. Partly thanks to the import of goods from abroad, any particular country is able to...
www.jamiiforums.com
Bill Gates Dirty Tricks in Burkina Faso and Nigeria
🏾 *PRAY FOR AFRICA* Bill Gates Dirty Tricks in Burkina Faso and Nigeria, by Sussy Vozniak, reporter for Intelicor Press, Vienna. Paris: Secret documents leaked on the fiasco in Burkina Faso expose troubling information on the undercover activities of the American Multi-Billionaire Bill...
www.jamiiforums.com
Update: 06/09/2019
VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu
Kwa vile huwezi kupata ukimwi hadi uchubuke wakati wa tendo la ngono, sasa je unaweza kupata ukimwi iwapo uume wako ni mdogo na umekutana na mwanamke mwenye uke mpana? yaani muda wote wewe ni kuogelea (kuelea) tu Wataalamu naombeni majibu. ================= Upungufu wa Kinga Mwilini (kwa...
www.jamiiforums.com
Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu
Read this very carefully guys and take a close look at yourself and the environment that you live in today Botha speech 1985 THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W. Botha to his Cabinet. This reprint was written by David G. Mailu for the Sunday Times, a South...
www.jamiiforums.com
Update: 22/09/2019
Tumechoka kudanganywa huu ndio ukweli: Ebola is part the us bio-warfare in Africa.
Professor Francis A. Boyle categorically stated that USA bio-warfare laboratories in West Africa are the origins of the Ebola epidemic. This led Dr. Paul Craig Roberts, former Assistant Secretary of the Treasury for Economic Policy to ask: ‘Is the US government the master criminal of our time?’...
www.jamiiforums.com
Update: 05/04/2020
Chanjo ya Corona
Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums
Hii chanjo ya Corona haitaletwa waziwazi maana wanajua tuneshawashtukia, hivyo wanaweza wakaileta kwa mifumo ya sindano za uzazi pamoja na chanjo zingine tulizozizoea, tuwe nao makini sana
==============================
UPDATE: 05/05/2020
Video: Sasa nazidi kuielewa kauli ya Rais “endeleeni kufyatua kwa kasi”, kama bado unaamini misaada toka kwa wazungu ni kwa sababu ya upendo - JamiiForums
===============================
===============================
Update: 14/01/2021
Umoja wa Afrika umenunua dozi milioni 270 za chanjo ya Corona ili kusambaza barani Afrika
Dozi zote zitatumika mwaka huu, alihaidi mwenyekiti wa AU rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. Idadi hii ni nyongeza ya dozi milioni 600 ambazo zilikuwa zimehaidiwa tayari ambazo bado hazitoshi kutoa chanjo kwa bara zima la Afrika. Kuna wasiwasi kuwa nchi maskini zitachelewa kupata chanjo...
www.jamiiforums.com
===============================
Update: 28/01/2021
==================================
Update: 02/2021
==================================
Update: 18/03/2021
=================================
Update: 23/04/2021
Baada ya kuona tunagomea chanjo ya Corona, sasa wamekuja na hii, wapige mpunga na kutimiza lengo lao kwa lazima
Update: 27/04/2021
Utafiti wabaini waAfrika weusi mimba zao zinaharibika kwa asilimia 40 zaidi ya watu wa asili nyingine. Kwanini? Tunalishwa nini? Tutafakari!
================================
Update: 11/05/2021
Eti UNFPA wanaumia sana wanawake wa KiAfrika wakishika mimba zisizotarajiwa?
Rais Samia akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa UNFPA na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ...
issamichuzi.blogspot.com
#COVID19 - Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'Experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa na Waziri Dorothy Gwajima. Amefafanua, "Mimi sipo kinyume na Chanjo za...
www.jamiiforums.com
================================
Update: 02/07/2021
#COVID19 - Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021. Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid. Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale. Japan wametangaza WIMBI LA TANO...
www.jamiiforums.com
Update: 28/07/2021
=================================
Update: 17/08/2021
#COVID19 - Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19
Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima -- Butiama. Waziri wa...
www.jamiiforums.com
=================================
Update: 24/09/2021
=================================
Update: 07/10/2021
Baada ya watu kushangaa chanjo ya Corona kupatikana kwa kasi ya ajabu huku ya Malaria ikichukua zaidi ya karne, ghafla, na chanjo ya malaria imepatika, WHO waidhibitisha 😂😂😂😂😂
Malaria yapata Chanjo na WHO imeithibisha, utafiti ulianza mwaka 1980
Uingereza imefanikiwa kutengeneza chanjo ya Malaria ugonjwa unaosumbua sana Afrika. Majaribio ya Chanjo hii yalifanyika katika nchi tatu za Ghana, Kenya na Malawi ambapo watoto zaidi ya 800,000 wamechanjwa. Chanjo hii imelengwa maalumu kwa ajili ya Afrika hivyo nchi zote barani humo zitapatiwa...
www.jamiiforums.com
==================================
China evil plan for Africa revealed
The second colonization of Africa: CHINA'S EVIL PLAN FOR AFRICA By the year 2050, according to the metrics of continental geopolitical ethnography, Africa will become a Chinese continent. African leaders, instead of setting up a "sinking fund" are just happy to revel in their own batty. Fact...
www.jamiiforums.com
==================================
Je, baada ya kuona video hii, Rais Samiah Suluhu anaweza kudiriki kukopa tena pesa nje ya nchi?
Mama Samiah ana lipi la kutuambia juu ya kauli yake kwamba akipata nafasi ya kukopa atakopa tena. Tumsikilize mwamba akiwafundisha wanafunzi wake, na endapo Rais wetu anaweza kuirudia ile kauli yake juu ya mikopo? ================================ Update: 15/02/2022...
www.jamiiforums.com
=========================
==========================
===========================
Update: 04/04/2023
Je, dawa za meno zinazogawiwa mashuleni zinaharibu homoni za watoto wa kiume?
Salaam Kuna audio inasambaa mitandaoni kwamba kuna dawa za meno zinagawiwa Mashuleni ambazo zinaharibu homoni za kiume. Kwamba TBS ilithibitisha. Je, kuna mtu ana uhakika na hizi taarifa au ni Uzushi tu wa mitandaoni. Wizara ya Elimu inajua hiki kitu na Uliruhusu? Msililize huyu anachoongea
www.jamiiforums.com
==========================
Update: 06/05/2023