Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,005
40,672
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi', Tuskegee syphilis experiment - Wikipedia, Ushoga na 'Uzazi wa mpango' ambao huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.

Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.

Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la Kiafrika.

Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!

Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!

Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.

===========================
Update: 07/07/2019
Rais Magufuli aniunga mkono leo wakati akimpokea Uhuru Kenyatta. Asema haya
"

Nchi zenye watu ndio zenye maendeleo makubwa. China na India zina watu wengi sana. Sisi Tanzania tupo Milioni 55 na kuzaliana sio shida. Watu wakiwa wengi uchumi unakua, bora kuwa na watu wengi wanaofanya kazi. Ndio maana nchi za Ulaya zinaungana"
===============================
===============================
=============================
Update: 06/09/2019

===============================
================================
Update: 22/09/2019
===============================
Update: 05/04/2020
Chanjo ya Corona
Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums
Hii chanjo ya Corona haitaletwa waziwazi maana wanajua tuneshawashtukia, hivyo wanaweza wakaileta kwa mifumo ya sindano za uzazi pamoja na chanjo zingine tulizozizoea, tuwe nao makini sana

==============================
UPDATE: 05/05/2020
Video: Sasa nazidi kuielewa kauli ya Rais “endeleeni kufyatua kwa kasi”, kama bado unaamini misaada toka kwa wazungu ni kwa sababu ya upendo - JamiiForums

===============================


===============================
Update: 14/01/2021

===============================
Update: 28/01/2021


24DBC731-843C-42A5-B805-6FBE78BBECBA.jpeg


==================================
Update: 02/2021


==================================
Update: 18/03/2021


=================================
Update: 23/04/2021
Baada ya kuona tunagomea chanjo ya Corona, sasa wamekuja na hii, wapige mpunga na kutimiza lengo lao kwa lazima

C08F2AA8-B6BB-4D44-8A7A-2CCA6C034795.jpeg


Update: 27/04/2021
Utafiti wabaini waAfrika weusi mimba zao zinaharibika kwa asilimia 40 zaidi ya watu wa asili nyingine. Kwanini? Tunalishwa nini? Tutafakari!
0258A67A-90A7-471B-AA36-99D21AE7E27D.jpeg


================================
Update: 11/05/2021
Eti UNFPA wanaumia sana wanawake wa KiAfrika wakishika mimba zisizotarajiwa?


================================
Update: 02/07/2021
=================================
Update: 28/07/2021


=================================
Update: 17/08/2021


=================================
Update: 24/09/2021

B5DB5534-CCC7-4784-B6D7-A82FDEF427BF.jpeg


=================================
Update: 07/10/2021
Baada ya watu kushangaa chanjo ya Corona kupatikana kwa kasi ya ajabu huku ya Malaria ikichukua zaidi ya karne, ghafla, na chanjo ya malaria imepatika, WHO waidhibitisha 😂😂😂😂😂


==================================

==================================


=========================



==========================



===========================
Update: 04/04/2023


==========================
Update: 06/05/2023

 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, magari, mafuta, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?

Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wanawatawala wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie WATU WEUSI


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu mpaye watoto mtakaoweza kuwapa huduma bora za afya, chakula, malezi na elimu bora,
Pengine wakiwa na elimu bora wataweza kujimudu zaidi kuliko kizazi cha sasa
 
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi' , 'Uzazi wa mpango' ambo huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.

Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.

Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri kwamba hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!

Hoja yako ina ukweli....JPM pia hajakosea katika hili
 
Ni ushenzi na ushetani mkubwa sana. Kuna syndicate za kukimaliza kizazi cha black people kama kilivyomalizwa kizazi cha Red Indians huko Marekani. Kampeni kama zile zinazoendeshwa na kina Bill Gates, Makampuni ya mbegu kina Monsanto kwa kuratibiwa na Mashirika kama UNFPA , WHO na kadhalika zina lenga kuhakikisha kizazi cha watu weusi hakiongezeki na kinatoweka baada ya muda hata kama ni mrefu

Jambo la kushangaza ni kwamba watu weusi wa mwanzo kua brain washed na mabeberu hawa ni "wasomi' wetu. Ukieleza kuhusu mbinu chafu hizi zinazofanywa na wazungu basi ujue "wasomi" wetu watakwambia hizo ni Conspiracy Theories tu na hazina uhalisia ingawa ushahidi wa mambo hayo upo wazi kabisa

Ukweli ni kwamba walikua wanaua black race kwa silaha kupitia vita na hata kuchochea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Sasa hivi wanatengeneza magonjwa kwenye maabara ili watu wafe na kupungua njia ambayo wanaona ni more ethical kuliko kuwauwa kwa vita!
 
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi' , 'Uzazi wa mpango' ambo huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.

Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.

Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri kwamba hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!
Halafu cha ajabu wanaoswma hivyo ni wasomi wetu. Hili swala la kupangiana kuzaa huwa silikubali kabisa.
 
Inawezekana kuna ukweli wa ukisemacho. Lakini kwa waliosoma ikolojia kuna nadharia ya CARRYING CAPACITY. Kiufupi, kila ecosystem ina rasilimali za kuweza kutoshea idadi Fulani ya viumbe. Kwa hapa tungeweza kuichukulia hata familia moja moja kama ecosystem. Sasa, kama familia itashindwa kutosheleza mahitaji, japo ya msingi, ya chakula, mavazi, na malazi basi itakuwa imezidiwa na hakutokuwa na sustainability. Hapa hatujaweka mahitaji ya elimu,afya, mawasiliano, etc, ambayo kwa familia nyingi ni anasa. Kiuhalisia, carrying capacity ya familia nyingi za middle class za kiafrica ni watoto 2 kushuka chini. Kwa familia masikini number ingepaswa kushuka. Ingawa the reality is contrary, kwa kisingizio kuwa kila mtoto anakuja na sahani take.
 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie viumbe wenye akili duni.


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu, vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu ili mjimudu vizuri la sivyo mtakuja kutawaliwa tena
Jinga kweli wewe, hujiulizi kwanini miaka ya sitini tu hapo mwanamke alikuwa akizaa watoto wachache basi ni watoto 12, mimi mwenyewe baba yangu ni mtoto wa 11 kati ya watoto 12 tena bila operesheni na kajifungulia nyumbani, wote walizaliwa salama! sasa nionyeshe ni wamama wangapileo hii wanauwezo wa kuzaa kama hivyo, kushika hata mimba moja tu hadi mkatapeliwa kwa dokta mwaka na kwa Mwingira, na tena kuzaa ni kwa operesheni, we huoni kuna vitu ambavyo tayari tunalishwa kidogo kidogo?
 
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi' , 'Uzazi wa mpango' ambo huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.

Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.

Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!

Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!

Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.

Over-population kwenye eneo fulani huwa mara zote inakuwa determined na "how many people per square meter/ kilometer" na si idadi ya watu kwenye eneo husika ukilinganisha na idadi ya watu wote duniani. Je umeliangalia hilo pia likakupa takwimu zikoje? However, sipingani na hoja yako.
 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?

Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie viumbe wenye akili duni.


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu, vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu ili mjimudu vizuri la sivyo mtakuja kutawaliwa tena
Duuu! huu ndio unaitwa ukweli mchungu.
 
Inawezekana kuna ukweli wa ukisemacho. Lakini kwa waliosoma ikolojia kuna nadharia ya CARRYING CAPACITY. Kiufupi, kila ecosystem ina rasilimali za kuweza kutoshea idadi Fulani ya viumbe. Kwa hapa tungeweza kuichukulia hata familia moja moja kama ecosystem. Sasa, kama familia itashindwa kutosheleza mahitaji, japo ya msingi, ya chakula, mavazi, na malazi basi itakuwa imezidiwa na hakutokuwa na sustainability. Hapa hatujaweka mahitaji ya elimu,afya, mawasiliano, etc, ambayo kwa familia nyingi ni anasa. Kiuhalisia, carrying capacity ya familia nyingi za middle class za kiafrica ni watoto 2 kushuka chini. Kwa familia masikini number ingepaswa kushuka. Ingawa the reality is contrary, kwa kisingizio kuwa kila mtoto anakuja na sahani take.
Miaka ya nyuma ilikuwa ni kawaida kwa mama kuzaa watoto kumi na kuendelea, hakuna aliyekosa chakula wa mahala pa kuishi. Mzungu ametuwekea mazingira ya kufanya tuhisi kwamba kutokuwa na gari basi ni maisha magumu, au kutokuwa na smartphone basi ni masikini, watu walizaa na walijishugulisha na kazi zao bila kujihisi kuwa ni masikini, ila kisa mzungu anatuambia ni masikini basi tunakubali
Over-population kwenye eneo fulani huwa mara zote inakuwa determined na "how many people per square meter/ kilometer" na si idadi ya watu kwenye eneo husika ukilinganisha na idadi ya watu wote duniani. Je umeliangalia hilo pia likakupa takwimu zikoje? However, sipingani na hoja yako.
Kwa bara kama letu ambalo over 70% ni mapori napata tabu kukubali kwamba una akili timamu kichwani.
 
Miaka ya nyuma ilikuwa ni kawaida kwa mama kuzaa watoto kumi na kuendelea, hakuna aliyekosa chakula wa mahala pa kuishi. Mzungu ametuwekea mazingira ya kufanya tuhisi kwamba kutokuwa na gari basi ni maisha magumu, au kutokuwa na smartphone basi ni masikini, watu walizaa na walijishugulisha na kazi zao bila kujihisi kuwa ni masikini, ila kisa mzungu anatuambia ni masikini basi tunakubali

Kwa bara kama letu ambalo over 70% ni mapori napata tabu kukubali kwamba una akili timamu kichwani.
Watu wafyeke mapori waanze kulima
 
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi' , 'Uzazi wa mpango' ambo huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.

Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.

Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!

Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!

Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.
Sorry umetumia neno ushenzi, naomba name nilitumie, usikasirike, I guess you are a scientist ready to absorb results of an experiment! or statistical jargons on estimations

Umeangalia population at a large scale , world level. Umesahau individual countries, microcosm environment. For example Rwanda population density ni 483/sq km! Ukigawa unapata kila mtu eneo lake ni sq m 2070... kitu kama miguu 40x50... ulime na familia yako to earn a living. It is not an industrialized country kuwa wanategemea employment

1553251162238.png

Nakuwekea link hiyo
Rwanda Population (2019) - Worldometers

NAJUA UTASEMA WAZUNGU WANADANGANYA!
I STAND TO BE CORRECTED PLEASE
 
Back
Top Bottom