Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
-Nikiwa Mwana CCM mkongwe, napenda nitoe dukuduku zangu kuhusiana na mienendo ya ndugu zetu Nape Nnauye pamoja na William Malechela ambao dhahiri wanakiangamiza chama siyo kwa kusimamia na kutetea ilani za chama chetu, bali kwa kutangaza propaganda zisizo na mshiko.
-Bwana Malechela amekuwa mshabiki mkubwa wa Mh. Wildroad Slaa kwa muda mrefu. Alifikia hatua ya kumuita Dr. Slaa Rais wake na kumwagia sifa kemkem za kumsifia. Kipindi hicho, bwana malechela alikuwa akimnanga na hata kumtukana Rais Kikwete, leo baada ya maisha kumshinda ulaya, alirudi Tanzania na kuanza kuimwagia CCM misifa, huku akimkashifu rais wake na watenda kazi wa Chadema.
-Nape kwa upande wake, pia amekuwa mshabiki mkubwa wa vyama vya upinzania. Tunaweza kumuita Muasi ndani ya CCM alipewa wadhifa kutokana na fadhila Fulani. Kwani baba yake nape. Mzee Nnauye alikuwa kada mkubwa wa CCM. Nape ni mwanzilishi wa CCJ na ushahidi zaidi tunao na tutazianika muda muhafaka.
-Kiongozi nikioo cha jamii. Kwa sasa hawa jamaa wawili haenezi sera za CCM, bali wanapanda chuki kejeli na ujinga. Mambo wanayoandika ni mambo ambayo yanazidi kuichafua chama chetu kikongwe. Mtaani, kijana wa malechela ndio gumzo. William anajulikana kama mzee wa mabinti. Jamanii inasaidia au inabomoa chama chetu? Nchi nyingine msingepata nyadhifa kwenye serikali kwani you do not have the necessary charactes to be leaders.
-Lakini kwa vile mmerithishwa madaraka, mnaiona nchi kama yenu. Tafadhali mbadilike kwani mmefika kukosa adabu hata kwa baba zenu. Mnamtukana Dr. Slaa ambaye ni sawa na baba yenu. Tafuteni Adabu ilipo. Kama hamuwezi kujibu hoja za wapinzani wenu, basi hamfai kuwa wanasiasa, kwani viroja vyenu na mipasho inazidi kuibomoa chama chetu
-Bwana Malechela amekuwa mshabiki mkubwa wa Mh. Wildroad Slaa kwa muda mrefu. Alifikia hatua ya kumuita Dr. Slaa Rais wake na kumwagia sifa kemkem za kumsifia. Kipindi hicho, bwana malechela alikuwa akimnanga na hata kumtukana Rais Kikwete, leo baada ya maisha kumshinda ulaya, alirudi Tanzania na kuanza kuimwagia CCM misifa, huku akimkashifu rais wake na watenda kazi wa Chadema.
-Nape kwa upande wake, pia amekuwa mshabiki mkubwa wa vyama vya upinzania. Tunaweza kumuita Muasi ndani ya CCM alipewa wadhifa kutokana na fadhila Fulani. Kwani baba yake nape. Mzee Nnauye alikuwa kada mkubwa wa CCM. Nape ni mwanzilishi wa CCJ na ushahidi zaidi tunao na tutazianika muda muhafaka.
-Kiongozi nikioo cha jamii. Kwa sasa hawa jamaa wawili haenezi sera za CCM, bali wanapanda chuki kejeli na ujinga. Mambo wanayoandika ni mambo ambayo yanazidi kuichafua chama chetu kikongwe. Mtaani, kijana wa malechela ndio gumzo. William anajulikana kama mzee wa mabinti. Jamanii inasaidia au inabomoa chama chetu? Nchi nyingine msingepata nyadhifa kwenye serikali kwani you do not have the necessary charactes to be leaders.
-Lakini kwa vile mmerithishwa madaraka, mnaiona nchi kama yenu. Tafadhali mbadilike kwani mmefika kukosa adabu hata kwa baba zenu. Mnamtukana Dr. Slaa ambaye ni sawa na baba yenu. Tafuteni Adabu ilipo. Kama hamuwezi kujibu hoja za wapinzani wenu, basi hamfai kuwa wanasiasa, kwani viroja vyenu na mipasho inazidi kuibomoa chama chetu