Tokea nimeanza kusoma maelezo yake uku ndani naona ni mtu ambaye akishindwa anatapata kama kuku aliyekatwa shingo angalia ndani NDIYO Ameanza .. .ata mzee wako alikosa nafasi ya kugombea urais kwa maneno yake matatizo yako inabidi ungalie kwanza ndani ya chama changu kuna wasafi au nayazungumza namini kuwepo jamvini ukizungumza kuhusu Mbowe ameanza biashara miaka mingi alafu wewe unakumbuka baba yako
aliwambia wananchi wake wale pumba kama kuna njaa kwahiyo sikutofautishi na yeye kwakuwa katika uwaziri mkuu wake ameifanyia nini Tanzania wewe imefika wakati unashiriki kwenye siasa ya utumbo unavyodai hiYo ni dharau kubwa kwa watanzania na pia nikulize swali kwanini unashiriki siasa za utumbo ?
Pasco well said. Nahisi kuna njama za makusudi za kuichafua JF ili ionekane ni kijiwe cha matusi na wala si pahala ambapo ni chemichemi ya hoja zinazotikisa na kuangalia mustakabali wa nchi yetu. Hivi mtu anaamka na kuanza kumshambulia mwingine bila sababu, hii inatusaidia nini hapa kwenye hii forum? Kama mtu ana bifu na mwenzake atumie PM wamalizane.Humu jf tuna vichaa wengi sana japo sio mpaka waokote makopo!.
Kama Willy amesema mahali siasa za Tanzania ni siasa utumbo, mleta mada alipaswa kwanza kutuonyesha huo utumbo aliusemea wapi, post au kama ni fb au kwenye blog yake ndipo ushushe lawama, kulaumu tuu bila kuonyesha chanzo cha hizo lawama, nao pia ni ukichaa na sio lazima uokote makopo!.
Pamoja na shutuma zao, naombeni sana kila mtu awe judged by his/her own merit!. Sio haki kumshutumu mtoto kwa makosa ya baba yake!. Huku sio kumtendea haki!.
Pasco!.
Mkuu hoja hujibiwa kwa hoja. Great thinkers maana yake ni kufikiri na kudadavua mambo na wala si matusi. Hivi Willy angekuwa anatumia jina kama unalotumia wewe (disguised) ungepata wapi matusi hayo ya kumtukana yeye na baba yake?
Nadhani ni vyema tukawapa haki zao hawa wenzetu ambao ni Verified Users kwa kuwa wamethubutu kujitokeza hadharani wakati waengine tunapiga risas huku tukiwa vichakani na hatuonekani. Kuna thread kama tatu za kumshambulia Willy, nadhani hii si haki kwa kuwa mashambulizi yenyewe si mashambuliz yenye hoja za kufikirisha bali matusi na kejeri.
Tujisahihishe JF isionekane ni kijiwe cha kutukanana.
Pasco well said. Nahisi kuna njama za makusudi za kuichafua JF ili ionekane ni kijiwe cha matusi na wala si pahala ambapo ni chemichemi ya hoja zinazotikisa na kuangalia mustakabali wa nchi yetu. Hivi mtu anaamka na kuanza kumshambulia mwingine bila sababu, hii inatusaidia nini hapa kwenye hii forum? Kama mtu ana bifu na mwenzake atumie PM wamalizane.
wewe pia ni kilaza kama yeye,huku hataku hoja zisizo na msingi,kama vipi aende fb alaaaaaaaaaa.historia haifi ndo maana tunamfananisha na dingi ake,kama vipi aprove ustarabu wake,alfu kunawtu mnapenda kuwasemea watu hasa watoto wa mafisadi humu,duh sijui mnapata vijisent.That is too radical.. Ni uhuru wa mawazo, na yeye ndo alivyoona, nami nakubaliana naye...kwanini mtu uhubiri ujamaa wakati unaishi kibepari? Ni unafiki mkubwa.....
Hafu wewe unavyomlinganisha na babake kushindwa ubunge waona unaakili? Au ulivyojenga hoja, hata isiyo na mpangilio unajiona kichwaaa, hahahaaaaa....watu bwana..
Humu jf tuna vichaa wengi sana japo sio mpaka waokote makopo!.
Kama Willy amesema mahali siasa za Tanzania ni siasa utumbo, mleta mada alipaswa kwanza kutuonyesha huo utumbo aliusemea wapi, post au kama ni fb au kwenye blog yake ndipo ushushe lawama, kulaumu tuu bila kuonyesha chanzo cha hizo lawama, nao pia ni ukichaa na sio lazima uokote makopo!.
Pamoja na shutuma zao, naombeni sana kila mtu awe judged by his/her own merit!. Sio haki kumshutumu mtoto kwa makosa ya baba yake!. Huku sio kumtendea haki!.
Pasco!.
Kusomea nje au kukaa nje haina maana kuwa una akili,ungekuwa mtoto wa mkulima na umefika huko kwa juhudi zako tungesema una akili ,lakini kama ulibebwa kama jeneza haimaanishi kwa vile uko ulaya basi una akili.Nafahamu wengi walio huko ambao ni matahira na hawana mpango wowote.Nyiyi ndio Hakina Hashimu Thabiit ambaye kakaa huko sijui miaka mitano ,sasa hivi anajifanya kasahau Kiswahili.
Tokea nimeanza kusoma maelezo yake hapa jukwaani anaonekana kama mtu ambaye akishindwa anatapata.
Hata mzee wake alikosa nafasi ya kugombea urais kwa maneno yake, matatizo yako William Malecela, inabidi ungalie kwanza ndani ya chama chako kama kuna wasafi au la. Siasa za Tanzania zinahitaji kujipanga haswa.
Siasa za kuchafuana kama ilivyokuwa hapo awali zimepitwa na wakati. Eleza mikakati yako na ukipata nafasi uwe mtekelezaji.
Tumia ushawishi zaidi ya mbinu chafu