W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

Status
Not open for further replies.

king86c

Senior Member
Feb 4, 2012
127
42
Tokea nimeanza kusoma maelezo yake hapa jukwaani anaonekana kama mtu ambaye akishindwa anatapata.

Hata mzee wake alikosa nafasi ya kugombea urais kwa maneno yake, matatizo yako William Malecela, inabidi ungalie kwanza ndani ya chama chako kama kuna wasafi au la. Siasa za Tanzania zinahitaji kujipanga haswa.

Siasa za kuchafuana kama ilivyokuwa hapo awali zimepitwa na wakati. Eleza mikakati yako na ukipata nafasi uwe mtekelezaji.

Tumia ushawishi zaidi ya mbinu chafu
 
Amekula chako nini mkuu manake umemshukia mpaka aibu.Kama sio basi is something behind.
 
huyu bwana anamatatizo kuishi nje ya nchi sio kigezo cha kupata uongozi matatizo ya watanzania hayajui angeanza kuyamaliza ya kwao kabla kufikia kusema riara ya utumbo bngur
 
Willy ni pedezhee..ana njia moja na papaa kinje na akina mariaga rais wa sinza na papaa msofe..YEYE NI PAPAA MUTUZ WILLY MALECELA MUBOSI RAIS YA DODOMA.siasa analazimisha.
 
hoja ni kilaza au sio kilaza athibitishe na pia atuambie kadi yake ya chama mara ya mwisho kulipia na alipata lini kabla yakujua siasa ni utumbo kwanini anashiriki
 
That is too radical.. Ni uhuru wa mawazo, na yeye ndo alivyoona, nami nakubaliana naye...kwanini mtu uhubiri ujamaa wakati unaishi kibepari? Ni unafiki mkubwa.....
Hafu wewe unavyomlinganisha na babake kushindwa ubunge waona unaakili? Au ulivyojenga hoja, hata isiyo na mpangilio unajiona kichwaaa, hahahaaaaa....watu bwana..
 
ni haki ya watanzania kula pumba kama mzee alivyosema na siasa ya tanzania ni utumbo kwanini anashiriki tunaitaji majibu kama atayaweza kutolea na ya mringi
 
Mkuu kweli una hasira,
kwanza pole,
kumbe ilibidi watu wale pumba ili
watoto zao wakasome majuu,
hilo nalo kwangu ni neno mkuu.
 
Humu jf tuna vichaa wengi sana japo sio mpaka waokote makopo!.

Kama Willy amesema mahali siasa za Tanzania ni siasa utumbo, mleta mada alipaswa kwanza kutuonyesha huo utumbo aliusemea wapi, post au kama ni fb au kwenye blog yake ndipo ushushe lawama, kulaumu tuu bila kuonyesha chanzo cha hizo lawama, nao pia ni ukichaa na sio lazima uokote makopo!.

Pamoja na shutuma zao, naombeni sana kila mtu awe judged by his/her own merit!. Sio haki kumshutumu mtoto kwa makosa ya baba yake!. Huku sio kumtendea haki!.

Pasco!.
 
Come on guys...... don't spoil the dudes mission please......he needs to unearth LUSINDE so that he can earn money to take care of his family.......so mind the wording please!!
 
Kusomea nje au kukaa nje haina maana kuwa una akili,ungekuwa mtoto wa mkulima na umefika huko kwa juhudi zako tungesema una akili ,lakini kama ulibebwa kama jeneza haimaanishi kwa vile uko ulaya basi una akili.Nafahamu wengi walio huko ambao ni matahira na hawana mpango wowote.Nyiyi ndio Hakina Hashimu Thabiit ambaye kakaa huko sijui miaka mitano ,sasa hivi anajifanya kasahau Kiswahili.
 
mtoto haadhibiwi kwa kosa la babaye!

Mkuu,kumshambulia mtu kwa sababu baba yake alishindwa ni ukilaza!!!!!!!!
Ulipaswa kutoa hoja nzito za vipi huyu malecela junior ni zuzu!
OTHERWISE,
I SAY THANKS FOR THIS VERY KILAZAFUL POST!!!!
 
Aloo kumshambulia mwana kwa makosa ya baba si haki wakati 'kila mtu atauchua mzigo wake mwenyewe'
 
Tangu amerudi bongo uwezo wake wa kufikiri umeshuka sana, sijui labda alivyokuwa huko ughaibuni alikuwa anatumia nyenzo kufikri sasa hapa hizo nyenzo hakuna ameamua kutumia mananilii kufikiri
 
Come on guys...... don't spoil the dudes mission please......he needs to unearth LUSINDE so that he can earn money to take care of his family.......so mind the wording please!!

To unearth Lusinde ? I think they are coming from the same family !!! Then why unearthing one another ?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom