Vyuo vya Tanzania vyafanya vibaya kwenye Takwimu za kimataifa

Ni kweli nilikuwa nje. Nikasoma huko nikarudi na tumawazo twangu tupya. Kazini pale kuna tuzee tumeshikilia usukani na tunaendesha mambo kwa nadharia na fikra za miaka ya 70. Nilikuwa frustrated nikaviacha. Sasa niko mtaani huku naisoma namba. Ukija na mawazo yako mapya halafu ukagusa ulaji wa watu unaweza hata uka-restishwa in peace usipokuwa mwangalifu. Yule daktari bingwa wa moyo na hospitali yake ya moyo alikuja na moto kufungua hospitali ya rufaa yenye uwezo wa kufanya operesheni kubwa kubwa za moyo hapa hapa nchini akishirikiana na madaktari wenzake kutoka Texas. Kumbe anaingilia ulaji wa watu na safari zao za kwenda kutibiwa nje. Unajua kilichompata? Kanchi haka kaone hivi hivi tu mkuu japo mambo yanabadilika pole pole. Tuwe na subira!

Wasmehe bure...Wametoka mbali na maslahi ya kustaafu bado ni mabaya lakini mbona wengine tumevumilia na kidogo tume impose some changes?
 
Ni kweli nilikuwa nje. Nikasoma huko nikarudi na tumawazo twangu tupya. Kazini pale kuna tuzee tumeshikilia usukani na tunaendesha mambo kwa nadharia na fikra za miaka ya 70. Nilikuwa frustrated nikaviacha. Sasa niko mtaani huku naisoma namba. Ukija na mawazo yako mapya halafu ukagusa ulaji wa watu unaweza hata uka-restishwa in peace usipokuwa mwangalifu. Yule daktari bingwa wa moyo na hospitali yake ya moyo alikuja na moto kufungua hospitali ya rufaa yenye uwezo wa kufanya operesheni kubwa kubwa za moyo hapa hapa nchini akishirikiana na madaktari wenzake kutoka Texas. Kumbe anaingilia ulaji wa watu na safari zao za kwenda kutibiwa nje. Unajua kilichompata? Kanchi haka kaone hivi hivi tu mkuu japo mambo yanabadilika pole pole. Tuwe na subira!
Kama nimekuelewa vizuri sana mkuu.
 
Kwani kujua ubora wa vyuo mpaka Takwimu za hao angalia tu matamko tu yanayotoka katika watendaji waliotoka katika hivyo vyuo utajua kama Ubora upo au laa...ni bora ukwa na Postgraduate ya UNISA kuliko Phd za Bongo ni magumashi tuu..

Nimecheka mpaka nikapaliwa....Jamani tunajitahidi ebu tupeni moyo kidogo, ni kweli tunakubali udhaifu lakini mdogo mdogo tutafika!
 
Kama ma dr wenyewe ndio hawa wanaotoka udsm,kwa nini tusiwe vilaza tuu?Watu wengi wasio wasomi huwa hawaoni tofauti kati yao na wasomi kwani tunaona maamuzi na maoni yao ni kama tu ya wazee wa vijijini tofauti tu ni wao kuchanganya na maneno ya English
 
Mimi sihitaji utafiti wala ripoti ya mtu yeyote, nakumbuka kulikuwa na ile kitu Zain Inter University Challenge, vyuo vyetu vilikuwa vinashika mkia. The so called Tanzania Intellectual anaulizwa swali doooogo kabisa linalopaswa kujibiwa na mtoto wa form II lakini anatafuna midomo. Mwisho wa mchezo washindi ni wale wale...Egerton, Kenyatta, Makerere, Ibadan sisi mwisho wetu robo fainali
 
Hapo UDSM kelele nyingi lakin kwa Africa bado hali ni mbaya, sasa sjui hao wa Saut na vyuo vingine wanachukuliwaje aki na sjui wana pataga wapi uwezo wa kusifia vyuo vyao.

There is something wrong with our education, Lowassa alisema tunahitaji mjadala wa kitaifa kuhusu elim tu, yaani kama vile tulivo jadili katiba, kwa hapo namuunga mkono
we nae limbwiga tu.....

hapo udsm ubora umebaki kwa maprofesa na majengo tu..

trust me, hao wanafunzi wa UDSM ni weupe kama ulivyo wewe.

huwa nacheka sana hizi ligi za vyuo Tanzania.

hakuna penye unafuu, kote ni mambwiga tu kama alivyo mbwiga mkuu ICE MAN 3D.

sasa we ICE MAN, una utofauti gani na mtu wa sauti?

what difference do you make??
 
huwa nacheka sana nikiona kimtu kama ki ICE MAN 3D....

kijamaa hiki bwana, teh teh teh...

mi nakwambia wewe na udsm yako you are still a mediocre, uko local bado sana, a small dipshit....

nakuhakishia wapo watu smart sana MZUMBE, UDOM nk.. ambao huwezi kuifikia hata sudusi ya nusu ya uwezo wao...

huwa nakuona kwenye majukwaa ya urembo na umbea, yeah, absolutely, there is where you belong...

kidude kidooooogooo kinajikuta kinaweza dooooohhh elimu ya bongo balaa...

vilaza wanaoneka vipanga and vice versa.

haha, LAWD HAVE MERCY!!!
 
Siasa uchwara ikipewa nafasi kila sehem ni sumu ya maendeleo,elimu jeshi afya ukimuingiza mwanasiasa jua umemkumbatia nge,atakung'ata tuu
 
Mimi sihitaji utafiti wala ripoti ya mtu yeyote, nakumbuka kulikuwa na ile kitu Zain Inter University Challenge, vyuo vyetu vilikuwa vinashika mkia. The so called Tanzania Intellectual anaulizwa swali doooogo kabisa linalopaswa kujibiwa na mtoto wa form II lakini anatafuna midomo. Mwisho wa mchezo washindi ni wale wale...Egerton, Kenyatta, Makerere, Ibadan sisi mwisho wetu robo fainali
Hii kitu sijui iliishia wapi???
Zain Portal Challenge
 
Jamani mbona UDSM ilikuwaga kwenye kumi bora ya Africa,kimapatwa na nini ,kuporomoka namna hio?
 
Ni kweli ila sio vizuri kudhalilisha nchi staili hii. Some of this statistics are not realistic. They lack credibility. Our level of education has really improved compared to yesteryears. Hamna nchi kama Tanzania Africa mashariki.
 
huwex kuwa bora kama huna tafit kazi majungu tu eti ooh chuo cha vipanga mara ooh chuo cha nchi mtamaliza degree zenu za hapo mlimani na kubaki nazo mtaani ukitaka kuamin haya hata mhitimu wa herbrt kairuki na kampala kiu anawapiga bao prakitkally na kwenye tafiti nyie kazeni na ila mjue mtaani hakuna cha udsm wala kipanga tunataka ufanis haiwezekan udsm mtu anahitim phd ya chem halafu anayoyafanya ndio yanafanya chuo ranki inashuka
 
Back
Top Bottom