Unachaguliwa kutoka wap na unakwenda certificate, Diploma, degree.? Kitengo gan, Nurse, Maabara, Daktar, Pharmacy? Utaratibu huo ulikuwepo lakin sina uhakika kwa sasa kwasababu wenye sifa na wanao2ma maombi ni wengi sana kuliko zamani ambapo vyuo vililazimika kuchagua kwa mara ya pili ili kuziba nafas. Labda kwa degree utaratibu huo unaweza ukawa bado upo, kumbuka sio lazima ufanyike kama idadi imetosheleza..!!
Kama ni vyuo hivi vya kawaida(exclude Universities) mwaka huu walikuwa orodha ya majina ya reserve na wenyewe wanajua.So kama ni kuhitaji nyongeza,wanafanya kupick majina kutoka kwenye orodha yao kisha wanawaita wahusika; kwa hiyo kama mtu hayupo kwenye orodha hiyo,ni basi tena.Ajipange tu kwa ajili ya mwakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.