Vyuo vya afya mbona ni vichache sana mwaka huu

runtown

JF-Expert Member
Feb 16, 2018
814
1,078
Habari za humu wana jf....


Mbona mwaka huu vyuo vinavoruhusu kufanya udahil kada ya afyya ni vichache sana alafu pia ni government pekee au kuna sehem nakwama
 
  • Thanks
Reactions: ita
Wakuu mbona hamchangii ase au sieleweki au ilitakiwa nipost kwenye jukwaa la migegedo nn
 
Habari za humu wana jf....


Mbona mwaka huu vyuo vinavoruhusu kufanya udahil kada ya afyya ni vichache sana alafu pia ni government pekee au kuna sehem nakwama
Now ndio nimeangalia nimekuta hvyo maan kama wiki moja au mbili niliangalia nikakuta vipo vyote mpaka private thus why ndio nikakuuliza umeitoa wapi?
 
Ungeangalia tena ndo uje kureply
Now ndio nimeangalia nimekuta hvyo maan kama wiki moja au mbili niliangalia nikakuta vipo vyote mpaka private thus why ndio nikakuuliza umeitoa wapi?
 
Back
Top Bottom