Vyuo vikuu watakiwa kufanya maamuzi magumu

moma2k

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
1,061
1,327
Ili kuboresha elimu ya chuo kikuu nchini wamiliki vyuo hivyo wanatakiwa kujipanga ki-lasilimali-watu. Ili kuimalisha quality ktk vyuo hivyo, tutorial assistants wazuiwe/wasiruhusiwe kufundisha ktk vyuo vikuu vyote nchini. Wao wabaki ktk majukumu madogo madogo ya kuwasaidia wahadhiri. Professors, PhD na Masters holders tu ndiyo wafundishe. We must be serious. Tuachane na elimu za bla bla. TCU wangeiweka marufuku hiyo kisheria ili iweze kutekelezwa vizuri.
 
Tatizo hao ma prof mmewapa uwaziri na ukatibu watafundisha saa ngapi, Halafu kitu kingine inabidi uelewe elimu ya chuo kikuu si kama ya 0-level au primary, mpaka mtu anafika level hizo haitaji kulelewa kama wanafunzi wa secondary, Kinachohitajika ni Miundo mbinu ya kutosha.
Nikupe tu mfano vyuo vyetu vya Engineering Bongo hata ungefundishwa na Maprofessor module zote, haina tija kwasababu hamna miundo mbinu inayoendana na fani husika. Unakuta mtu anasoma Electrical & Electronics eng miaka 4 anakuja kushika resistor mwaka wa nne kwenye project, miaka yote ni kusotea vitini.
 
Tatizo hao ma prof mmewapa uwaziri na ukatibu watafundisha saa ngapi, Halafu kitu kingine inabidi uelewe elimu ya chuo kikuu si kama ya 0-level au primary, mpaka mtu anafika level hizo haitaji kulelewa kama wanafunzi wa secondary, Kinachohitajika ni Miundo mbinu ya kutosha.
Nikupe tu mfano vyuo vyetu vya Engineering Bongo hata ungefundishwa na Maprofessor module zote, haina tija kwasababu hamna miundo mbinu inayoendana na fani husika. Unakuta mtu anasoma Electrical & Electronics eng miaka 4 anakuja kushika resistor mwaka wa nne kwenye project, miaka yote ni kusotea vitini.
Bora hata wewe umenisaidia kusema. Baadhi ya watu hawajui matatizo ya elimu yetu yapo wapi.
 
Bora hata wewe umenisaidia kusema. Baadhi ya watu hawajui matatizo ya elimu yetu yapo wapi.
Hii ndo forum ya kushirikishana matatizo hayo. TCU watimize wajibu wao ili kuleta ubora ktk vyuo vyetu.
 
Back
Top Bottom