Vyuo Vikuu Tanzania wapeni watu hawa Digrii za Heshima

DENLSON

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
944
1,253
Digrii za heshima (Doctorate of Honour) zimekuwa zikitolewa na vyuo mbali mbali ndani na nje ya nchi yetu kwa lengo la kutambua mchango wa mtu mmoja mmoja katika jamii kwa jambo fulani.

Mara nyingi kama sio zote hapa kwetu Tanzania digrii hizi zimekuwa zikitolewa kwa wanasiasa na wafanyabishara kitu ambacho kinaondoa hadhi, uhalisia na maana nzima ya hizo heshima zinazotolewa kwa watu husika katika jamii.

Kwa mfano, Rais Magufuli kwa kutambua mchango wa mhandisi Mzee Mfugale alimua kuipa Flyover ya tazara jina lake. Hivi ndivyo inavyotakiwa kuwa tuwape watu wanaochangia maendeleo kwenye jamii zetu heshima ili kizazi cha leo na kesho kijue kuhusu wao na kijifunze kupitia wao.

Waswahili wanasema yaliyopita si ndwele tugange yajayo, leo 1/1/2020 ni vyema mwaka huu uwe wa tofauti kwa maana digrii hizi za heshima wapewe na watu wenye mchango mkubwa wa maendeleo kwenye jamii yetu; Kwa namna ya kipekee kabisa nitaje watu wachache ambao wanastahili tuzo za heshima kwa michango yao katika jamii kwa sekta mbali mbali

Ruge Mutahaba R.I.P
Jasiri mtengeneza njia, naam Ruge alikuwa nguzo ya mafanikio kwa sanaa ya mziki wa Tanzania. Alikuwa mbunifu mwenye kugundua vipaji na kuvisapoti. Leo hii mamia ya wasanii wamepita kwenye mikono yake. Ametengeneza ajira kwa namna ambayo haiwezi kutajwa. Leo kuna Wasafi Festival kwa sababu Fiesta ipo. Ubunifu wake na uwezo wake wa kuona kipaji na kukiendeleza vinamfanya kuwa mtu wa kipekee sana katika nchi yetu.

Ze comedy Group (Orijino Komedi)
Hawa wanastahili tuzo ya heshima, walianza vipindi vya komedi kipindi ambacho jamii haitambui sana sanaa ya vichekesho, kifupi vichekesho havikuwa ajira. Wakaiendeleza na kuifanya ipendwe leo hii sanaa ya vichekesho ni ajira kubwa Tanzania.

Joseph Mbilinyi (Mr Sugu)
Moja kati ya watu wa kwanza kuimba nyimbo za kufoka kwa kiswahili. Sugu nastahili tuzo sio tu kwa kukifanya kiswahili kuwa lugha ya muziki wa kizazi kipya bali hata kwa kuonesha njia kwa vijana kufanya mziki na kuikuza sanaa ya Tanzania.

Mr Blue (The game changer)
Ndio ni Mr. Blue ambae alikuja kuubadlisha mziki wa Tanzania toka rap au kofoka mpaka kuingia kwenye mziki laini ambao leo ndio uliobeba mafanikio ya wasanii wengi kama sio wote. Huyu anastahili tuzo ya heshima amewatoa vijana wengi kupitia aina ya muziki aliokuwa akiimba wengi wamezoea kuuita wabana pua.

Msaga Sumu

Leo mtaani kuna aina mpya ya mziki unaitwa singeli huyu jamaa ndio mwanzilishi wa huo mziki. Kwanini asipewe tuzo ya heshima? Kupitia yeye na aina yake ya muziki leo watu wengi wanaimba na kupata fedha kupitia mziki wa singeli.

Nasibu Abdul (Diamond)
Naam ni Diamond mtoto wa Tandale ambaye kupitia yeye Afrika na dunia leo inaimba mziki wa Tanzania. Diamond amebadili mziki wa Tanzania kutoka ubishoo na umaarufu kuwa biashara kubwa. Amepanua mawazo ya wasanii wengi kuhusu uwekezaji nje ya muziki leo wasanii wengi wameanza kuwekeza katika biashara tofauti na muziki. Haya ni mafanikio makubwa na yanastahili pongezi.

Steven Kanumba R.I.P
Wanasema pengo lake halizibiki kwenye sanaa ya maigizo. Ni kweli Kanumba ni moja kati ya watu waliofanya sanaa ya maigizo ianze kupata soko ndani na nje ya mipaka ya nchi yetu. Kumpa tuzo ya heshima Kanumba kunataibua hamasa ya kupata warithi wake katika tasnia ya maigizo nchini.

Wako wengi sana kuna waandishi wa habari, waandishi wa vitabu, wanamichezo, wanasiasa, wanasheria, wakulima, wazazi, watumishi, wanajesi, maaskari, walimu, madaktari na wengine wengi unaweza kuongezea majina yao ili kuheshimu michango ya watanzania wenzetu katika sekta zote Biashara, uchumi, kilimo, ufugaji na utumishi pia.
 
Vipi kuhusu
1. Mzee Majuto
2. Msagasumu
3. Afande Sele
4. Ferouz
5. Fm Academia
6. Twanga Pepeta
7. Mzee Yusuf
8. Manfongo
9. Mr. Nice
10. Alikiba
11. Juma Nature
12. Pembe
13. Senga
14. Kingwendu
15. Mtanga

Kama itakuwa unavyotaka wewe itabidi degree wapewe wasanii karibia wote kitu ambacho hakiwezekani. Kila msanii/mtu ana kipawa chake. Degree ya heshima inatolewa kwa wale walioisaidia jamii au kuvuka kiwango cha kipaji cha kawaida. Hao uliowataja hakuna aliyevuka mstari wa kipawa chake so ni watu wa kawaida kama mafundi gari, cherehani n.k.
Unataka degree nenda darasani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo namba 3 khaa
Vipi kuhusu
1. Mzee Majuto
2. Msagasumu
3. Afande Sele
4. Ferouz
5. Fm Academia
6. Twanga Pepeta
7. Mzee Yusuf
8. Manfongo
9. Mr. Nice
10. Alikiba
11. Juma Nature
12. Pembe
13. Senga
14. Kingwendu
15. Mtanga

Kama itakuwa unavyotaka wewe itabidi degree wapewe wasanii karibia wote kitu ambacho hakiwezekani. Kila msanii/mtu ana kipawa chake. Degree ya heshima inatolewa kwa wale walioisaidia jamii au kuvuka kiwango cha kipaji cha kawaida. Hao uliowataja hakuna aliyevuka mstari wa kipawa chake so ni watu wa kawaida kama mafundi gari, cherehani n.k.
Unataka degree nenda darasani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Degree zimekuwa Njugu basi tumpe na Amber rutty mana mpaka sasa yeye ndio Kinara
 
Karibu Muslim University of Morogoro ujionee Tafiti zenye h-index za hali ya juu
 
Tanzania hatuna hata Hall of Fame ya aina yoyote hawa wote wangeweza kupata recognitions pengine hata ingekuwapo Tanzanian’s excellence Hall of Fame kutoa Doctorate ni mchakato mkubwa kidogo kulikoni kuanzisha hili Wizara ya utamaduni Sanaa na michezo inaweza kulifanya hili
 
VYUO VIKUU TANZANIA WAPENI HAWA WATU DIGRII ZA HESHIMA
Digrii za heshima (Doctorate of Honour) zimekuwa zikitolewa na vyuo mbali mbali ndani na nje ya nchi yetu kwa lengo la kutambua mchango wa mtu mmoja mmoja katika jamii kwa jambo fulani. Mara nyingi kama sio zote hapa kwetu Tanzania digrii hizi zimekuwa zikitolewa kwa wanasiasa na wafanyabishara kitu ambacho kinaondoa hadhi, uhalisia na maana nzima ya hizo heshima zinazotolewa kwa watu husika katika jamii. Kwa mfano. Rais Magufuli kwa kutambua mchango wa mhandisi Mzee Mfugale alimua kuipa Flyover ya tazara jina lake. Hivi ndivyo inavyotakiwa kuwa tuwape watu wanaochangia maendeleo kwenye jamii zetu heshima ili kizazi cha leo na kesho kijue kuhusu wao na kijifunze kupitia wao.

Waswahili wanasema yaliyopita si ndwele tugange yajayo, leo 1/1/2020 ni vyema mwaka huu uwe wa tofauti kwa maana digrii hizi za heshima wapewe na watu wenye mchango mkubwa wa maendeleo kwenye jamii yetu; Kwa namna ya kipekee kabisa nitaje watu wachache ambao wanastahili tuzo za heshima kwa michango yao katika jamii kwa sekta mbali mbali

Ruge Mutahaba R.I.P
Jasiri mtengeneza njia, naam Ruge alikuwa nguzo ya mafanikio kwa sanaa ya mziki wa Tanzania. Alikuwa mbunifu mwenye kugundua vipaji na kuvisapoti. Leo hii mamia ya wasanii wamepita kwenye mikono yake. Ametengeneza ajira kwa namna ambayo haiwezi kutajwa. Leo kuna Wasafi festival kwa sababu Fiesta ipo. Ubunifu wake na uwezo wake wa kuona kipaji na kukiendeleza vinamfanya kuwa mtu wa kipekee sana katika nchi yetu.

Ze comedy Group (Orijino Komedi)
Hawa wanastahili tuzo ya heshima, walianza vipindi vya komedi kipindi ambacho jamii haitambui sana sanaa ya vichekesho, kifupi vichekesho havikuwa ajira. Wakaiendeleza na kuifanya ipendwe leo hii sanaa ya vichekesho ni ajira kubwa Tanzania.

Joseph Mbilinyi (Mr Sugu)
Moja kati ya watu wa kwanza kuimba nyimbo za kufoka kwa kiswahili. Sugu nastahili tuzo sio tu kwa kukifanya kiswahili kuwa lugha ya muziki wa kizazi kipya bali hata kwa kuonesha njia kwa vijana kufanya mziki na kuikuza sanaa ya Tanzania.

Mr Blue (The game changer)
Ndio ni Mr.Blue ambae alikuja kuubadlisha mziki wa Tanzania toka rap au kofoka mpaka kuingia kwenye mziki laini ambao leo ndio uliobeba mafanikio ya wasanii wengi kama sio wote. Huyu anastahili tuzo ya heshima amewatoa vijana wengi kupitia aina ya muziki aliokuwa akiimba wengi wamezoea kuuita wabana pua.

Msaga Sumu

Leo mtaani kuna aina mpya ya mziki unaitwa singeli huyu jamaa ndio mwanzilishi wa huo mziki. Kwanini asipewe tuzo ya heshima? Kupitia yeye na aina yake ya muziki leo watu wengi wanaimba na kupata fedha kupitia mziki wa singeli.

Nasibu Abdul (Diamond)
Naam ni Diamond mtoto wa Tandale ambaye kupitia yeye Afrika na dunia leo inaimba mziki wa Tanzania. Diamond amebadili mziki wa Tanzania kutoka ubishoo na umaarufu kuwa biashara kubwa. Amepanua mawazo ya wasanii wengi kuhusu uwekezaji nje ya muziki leo wasanii wengi wameanza kuwekeza katika biashara tofauti na muziki. Haya ni mafanikio makubwa na yanastahili pongezi.

Steven Kanumba R.I.P
Wanasema pengo lake halizibiki kwenye sanaa ya maigizo. Ni kweli Kanumba ni moja kati ya watu waliofanya sanaa ya maigizo ianze kupata soko ndani na nje ya mipaka ya nchi yetu. Kumpa tuzo ya heshima Kanumba kunataibua hamasa ya kupata warithi wake katika tasnia ya maigizo nchini.

Wako wengi sana kuna waandishi wa habari, waandishi wa vitabu, wanamichezo, wanasiasa, wanasheria, wakulima, wazazi, watumishi, wanajesi, maaskari, walimu, madaktari na wengine wengi unaweza kuongezea majina yao ili kuheshimu michango ya watanzania wenzetu katika sekta zote Biashara, uchumi, kilimo, ufugaji na utumishi pia.
Ukiangalia kwa undani vyuo vyeti vinatoa degree za heshima kwa wanasiasa.

Na wanafanya hivi ili wakumbukwe kwenye teuzi. Basi
 
Vipi kuhusu
1. Mzee Majuto
2. Msagasumu
3. Afande Sele
4. Ferouz
5. Fm Academia
6. Twanga Pepeta
7. Mzee Yusuf
8. Manfongo
9. Mr. Nice
10. Alikiba
11. Juma Nature
12. Pembe
13. Senga
14. Kingwendu
15. Mtanga

Kama itakuwa unavyotaka wewe itabidi degree wapewe wasanii karibia wote kitu ambacho hakiwezekani. Kila msanii/mtu ana kipawa chake. Degree ya heshima inatolewa kwa wale walioisaidia jamii au kuvuka kiwango cha kipaji cha kawaida. Hao uliowataja hakuna aliyevuka mstari wa kipawa chake so ni watu wa kawaida kama mafundi gari, cherehani n.k.
Unataka degree nenda darasani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongezea na hawa mkuu
1. Cpt John Komba TIP

2. Mzee wa 500 itapendeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania hatuna hata Hall of Fame ya aina yoyote hawa wote wangeweza kupata recognitions pengine hata ingekuwapo Tanzanian’s excellence Hall of Fame kutoa Doctorate ni mchakato mkubwa kidogo kulikoni kuanzisha hili Wizara ya utamaduni Sanaa na michezo inaweza kulifanya hili
Hebu tusaidie kufafanua kidogo hii inakuaje....weka details zaidi
 
Tanzania hatuna hata Hall of Fame ya aina yoyote hawa wote wangeweza kupata recognitions pengine hata ingekuwapo Tanzanian’s excellence Hall of Fame kutoa Doctorate ni mchakato mkubwa kidogo kulikoni kuanzisha hili Wizara ya utamaduni Sanaa na michezo inaweza kulifanya hili
Hili ni wazo jema kutoa appreciations na recognitions kwa elites toka kada mbalimbali,ila kwa uzoefu wa nchi yetu nina wasiwasi itatumika kinyume na makusudio,otherwise its a good idea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom