Uloi nga Machi
Member
- Jan 4, 2012
- 61
- 23
Mabibi na Mabwana,
Sina shaka mnazo taarifa kwamba mwaka 2012 katika Orodha ya Ubora wa Vyuo Africa Nchi yetu ina Vyuo viwili tu ambavyo ni The Giant and Prestigous University( University of Dar es Salaam) nafasi ya 11 na Hubert Kairuki Memorial University nafasi ya 49.
Ukweli ni kwamba hizi INSTITUTES zilizopakwa rangi kuwa "universities" hazimo. Hii inadhihirisha kwamba bado kuna kazi ya kuboresha Elimu Tanzania siyo kwa kuongeza tu Idadi bali kiwango cha Ubora wa Elimu itolewayo.
Kiko wapi kiburi chao wale wanaodhani kwamba Institutes zao no bora na kudharau UDSM ambayo kwanza walikosa sifa za kujiunga wakakimbilia huko?
Sina shaka mnazo taarifa kwamba mwaka 2012 katika Orodha ya Ubora wa Vyuo Africa Nchi yetu ina Vyuo viwili tu ambavyo ni The Giant and Prestigous University( University of Dar es Salaam) nafasi ya 11 na Hubert Kairuki Memorial University nafasi ya 49.
Ukweli ni kwamba hizi INSTITUTES zilizopakwa rangi kuwa "universities" hazimo. Hii inadhihirisha kwamba bado kuna kazi ya kuboresha Elimu Tanzania siyo kwa kuongeza tu Idadi bali kiwango cha Ubora wa Elimu itolewayo.
Kiko wapi kiburi chao wale wanaodhani kwamba Institutes zao no bora na kudharau UDSM ambayo kwanza walikosa sifa za kujiunga wakakimbilia huko?