Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha

connections

JF-Expert Member
Apr 27, 2013
1,736
2,294
Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.

Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa tukiomba kazi pale UDSM sijui SUA hawatupi hata kazi ya ulinzi. Wanatudharau sana asee. Wanadai sisi eti KIWANGO DUNI (KIWADU).
 
Unajua sababu?

Kwanza mpango wa serikali ya Magufuli ni kuhakikisha mashirika yote ya Binafsi yanakufa,

Pili Vyuo vyenyewe hazikuboresha mazingira wakajisahau, sasa njia ili vyuo vife ni kuwaacha wanafunzi wachague wanapotaka siyo kupangiwa na TCU hivo vimekosa wanafunzi maana wakuu wa vyuo walikuwa wanahonga kupata wanafunzi.
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom