House4Rent Vyumba vya Kupanga-MbeziBeach

Dalali Alpha

Member
Apr 20, 2021
89
60
Chumba Choo ndani (Masta) na Sebule.
Maji ya dawasa/bomba, Umeme luku watatu.

Mahali: Mbezibeach Makonde
Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000

Maelezo Zaidi: 0716442950

IMG_20210606_154812.jpg
IMG_20210606_154630.jpg
IMG_20210606_154620.jpg
IMG_20210606_154816.jpg
 
Chumba Choo ndani (Masta).
Maji ya dawasa/bomba, Umeme luku watatu, Nyumba ya pili kutoka kituo cha daladala.

Mahali: Mbezibeach Makonde
Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000

Maelezo Zaidi: 0716442950
IMG_20210526_130344.jpg
IMG_20210526_130240-1.jpg
 
Chumba Choo ndani (Masta)
Maji ya dawasa/bomba 24hrs, Umeme luku yake.

Mahali: Mbezibeach Afrikana
Kodi ya Mwezi: Tshs 150,000

Maelezo Zaidi: 0716442950
IMG_20210530_081201.jpg
20210530080724_0.jpg
 

Attachments

  • images%20(12).jpg
    images%20(12).jpg
    25.2 KB · Views: 10
Yaani Mkuu kuna picha umejaribu ku edit Ili kuficha uchafu na uchakavu. Very sad.

Hebu jamani jitahidini kuwapa watu huduma nzuri ilimpate kufurahia hela yenu. Tanzania ya sasa imebadilika watu wanataka value for their money. Waishi pazuri, wale pazuri na walale pazuri.

Afu ni Mbezi Beach. Loh.

Kiranga njoo uone
 
Yaani Mkuu kuna picha umejaribu ku edit Ili kuficha uchafu na uchakavu. Very sad.

Hebu jamani jitahidini kuwapa watu huduma nzuri ilimpate kufurahia hela yenu. Tanzania ya sasa imebadilika watu wanataka value for their money. Waishi pazuri, wale pazuri na walale pazuri.

Afu ni Mbezi Beach. Loh.

Kiranga njoo uone
Geto chafu hata ukimpeleka demu wako anatoka na fungus.
 
Yaani Mkuu kuna picha umejaribu ku edit Ili kuficha uchafu na uchakavu. Very sad.

Hebu jamani jitahidini kuwapa watu huduma nzuri ilimpate kufurahia hela yenu. Tanzania ya sasa imebadilika watu wanataka value for their money. Waishi pazuri, wale pazuri na walale pazuri.

Afu ni Mbezi Beach. Loh.

Kiranga njoo uone
Watu hawafanani uwezo pimbi wewe, Unajifanya kujichetua hapa, wakati bibi yako analala kwenye kajumba cha Udongo uko kijijini kwenu
 
Mwaka jana niliishi Buza.

Chumba na sebule. Tiles, ceiling board ya gypsum, choo cha public ila kilikua kinapendeza muonekano. Maji ni ya chumvi ila umeme upo 24/ 7 bili ya umeme 5000 na maji haizidi 1500.

Kodi ilikua 60,000 kwa mwezi. Wenye nyumba wa Buza wanapokea hata kodi ya miezi miwili Mungu awabariki.

Anyway, kwa picha za mleta uzi nipo radhi kurudi kuishi Buza kuliko kokote alipopaweka hapo. I mean 100K kwa ajili ya choo ambacho ukigeuka umegusa ukuta? Or 150K kwa single room kisa jina Mbezi? It ain't fair kwa mfuko na uchumi wangu.

Ila ingetokea hivyo vyumba vipo karibu na chuo ungepata wapangaji sana.
 
Yaani Mkuu kuna picha umejaribu ku edit Ili kuficha uchafu na uchakavu. Very sad.

Hebu jamani jitahidini kuwapa watu huduma nzuri ilimpate kufurahia hela yenu. Tanzania ya sasa imebadilika watu wanataka value for their money. Waishi pazuri, wale pazuri na walale pazuri.

Afu ni Mbezi Beach. Loh.

Kiranga njoo uone
Unaharibu biashara ya mtu...
 
Mwaka jana niliishi Buza.

Chumba na sebule. Tiles, ceiling board ya gypsum, choo cha public ila kilikua kinapendeza muonekano. Maji ni ya chumvi ila umeme upo 24/ 7 bili ya umeme 5000 na maji haizidi 1500.

Kodi ilikua 60,000 kwa mwezi. Wenye nyumba wa Buza wanapokea hata kodi ya miezi miwili Mungu awabariki.

Anyway, kwa picha za mleta uzi nipo radhi kurudi kuishi Buza kuliko kokote alipopaweka hapo. I mean 100K kwa ajili ya choo ambacho ukigeuka umegusa ukuta? Or 150K kwa single room kisa jina Mbezi? It ain't fair kwa mfuko na uchumi wangu.

Ila ingetokea hivyo vyumba vipo karibu na chuo ungepata wapangaji sana.
Endelea Kuishi buza, unafikili wote tukiishi mbezibeach buza ataishi nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom