matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,577
- 15,337
kwa jinsi wanazosifika kwa kuwa na ngawila hawa mabingwa ni aibu kukuta wanatubandikia mabango hadi kwenye mipapai huku kijijini.
Nijibu basi uoni nimekupmok nahisi ulitaka kusema "mabango" na sio mapangoView attachment 856772
PM HAZIFUNGUKI
uko vizuri. nimekutumia na kapiem ka pongezi.ok nahisi ulitaka kusema "mabango" na sio mapangoView attachment 856772
kweli mkuu. siku hizi mtu akiwa mganga tu anajifanya tayari free mason digrii za point 52.Matapeli tu hao, nayaonaga hadi kwenye nguzo za umeme.
wajinga sana hawajui fremason OG wanaweza kuwapeleka mahakamani na vinamba vyao.Matapeli tu hao sio freemasonry!
Hahahahawajinga sana hawajui fremason OG wanaweza kuwapeleka mahakamani na vinamba vyao.
Uwiiikweli mkuu. siku hizi mtu akiwa mganga tu anajifanya tayari free mason digrii za point 52.