Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,701
- 45,041
Kupitia ukurasa wao wa Instagram, kituo cha radio cha Clouds Fm wamethibitisha kutomleta Msanii kutoka nje na hivyo kutoa fursa kwa Wasanii wa ndani kufanya yao siku hiyo katika viwanja vya Leaders Club.
Ikumbukwe tamasha la Fiesta likifanyika Dar, ni lazma awepo msanii kutoka nje ya Tanzania, na wasanii ambao wamewahi kuja ni kama Rick Ross, T.I na wengineo!
Je nini maoni yako?
Ikumbukwe tamasha la Fiesta likifanyika Dar, ni lazma awepo msanii kutoka nje ya Tanzania, na wasanii ambao wamewahi kuja ni kama Rick Ross, T.I na wengineo!
Je nini maoni yako?