Vyou Vikuu Vya Kikiristo Vinatoa Wala Rushwa na Mafisadi?

Status
Not open for further replies.

Mr.Right

JF-Expert Member
Jul 9, 2011
408
69
TZ ni nchi yenye Rushwa na Ufisadi Mkubwa sana Duniani. Ukichunguza wafanyakazi wengi Serikalini ni Graduate kutoka ktk vyuo kama Tumaini University nk. Sasa hii Rushwa na Ufisadi mbona havipigwi vita sana na hawa Graduate kutoka hivi vyuo vya Kidini (Catholics)? Je kuna Courses zozote za Ethics ambazo zinafundishwa?

Hii information imetokana na wingi wa Vyuo Vikuu vya Kikatoliki nchini.



[h=1]Are Business Schools Failing the World?




By WILLIAM J. HOLSTEIN
Published: June 19, 2005
JEFFREY E. GARTEN, 58, who is stepping down after 10 years as dean of the Yale School of Management, says he does not think American business schools are doing a good enough job. Here are excerpts from a conversation with Mr. Garten, who became the dean after a career on Wall Street specializing in debt restructuring abroad and a stint as under secretary of commerce for international trade.
Sean Kelly​



Q. Do you feel that in your 10 years, you were able to improve the way business students are educated?

[/h]
 
sijaelewa elimu yako na upeo wako wa kufikiri, ina maana vyuo UDSM,,DUCE,MUKE,MUH,SUA,MZUMBE,NK havitoi wanafunzi? wao hawapo serikalini? wao hawafundishwi ethics? acha kuandika mada za kitoto hata mtoto wa darasa la saba aliemaliza mitihani yao atakuambia umeandika kitoto.
Nkuulize hawa mafisadi wamesoma vyuo vya kikatoliki? vilikuwepo wkt huo? kamuulize ROSTAM,chenge na lowasa wamesoma vyuo gani.
 
Mr.Wrong, nafikiri wewe sio mzima kiubongo. Hebu tupe evidence
TZ ni nchi yenye Rushwa na Ufisadi Mkubwa sana Duniani. Ukichunguza wafanyakazi wengi Serikalini ni Graduate kutoka ktk vyuo kama Tumaini University nk. Sasa hii Rushwa na Ufisadi mbona havipigwi vita sana na hawa Graduate kutoka hivi vyuo vya Kidini (Catholics)? Je kuna Courses zozote za Ethics ambazo zinafundishwa?<br />
<br />
Hii information imetokana na wingi wa Vyuo Vikuu vya Kikatoliki nchini.
 
TZ ni nchi yenye Rushwa na Ufisadi Mkubwa sana Duniani. Ukichunguza wafanyakazi wengi Serikalini ni Graduate kutoka ktk vyuo kama Tumaini University nk. Sasa hii Rushwa na Ufisadi mbona havipigwi vita sana na hawa Graduate kutoka hivi vyuo vya Kidini (Catholics)? Je kuna Courses zozote za Ethics ambazo zinafundishwa?

Hii information imetokana na wingi wa Vyuo Vikuu vya Kikatoliki nchini.
Chakarikeni kuomba misaada ya shule, hosptali na huduma za kijamii kwa ujumla sio kuomba tende,suti na alua tu kwa waarabu.
 
ni kweli Kanisa linatoa Graduate wengi sana nchini. wakati umefika kuangalia hao graduate wao makazini na mchango wao kwa jamii. rushwa imekithiri sana na kila siku tunaona Wakatoliki wanafungua vyuo, lakini tatizo la rushwa na ufisadi lipo pale pale. ni mchango wao kwa jamii? rushwa na ufisadi?
 
ni kweli Kanisa linatoa Graduate wengi sana nchini. wakati umefika kuangalia hao graduate wao makazini na mchango wao kwa jamii. rushwa imekithiri sana na kila siku tunaona Wakatoliki wanafungua vyuo, lakini tatizo la rushwa na ufisadi lipo pale pale. ni mchango wao kwa jamii? rushwa na ufisadi?
Nyie c mnajenga madrasa tu na kuwafunza watoto kung fu kwa ajili ya maandalizi ya jihad.
 
Nyie c mnajenga madrasa tu na kuwafunza watoto kung fu kwa ajili ya maandalizi ya jihad.

unashindwa kujibu kwa hoja, angalia swali kwanza kabla ya kujibu bila ya kusoma. Au hiyo ndiyo elimu ya Tumani?

Tunazungumzia rushwa na ufisadi ktk TZ na mchango wa Kanisa la Katoliki na vyuo vyao kama wanafundisha Ethics ktk vyuo hivyo.
 
TZ ni nchi yenye Rushwa na Ufisadi Mkubwa sana Duniani. Ukichunguza wafanyakazi wengi Serikalini ni Graduate kutoka ktk vyuo kama Tumaini University nk. Sasa hii Rushwa na Ufisadi mbona havipigwi vita sana na hawa Graduate kutoka hivi vyuo vya Kidini (Catholics)? Je kuna Courses zozote za Ethics ambazo zinafundishwa?

Hii information imetokana na wingi wa Vyuo Vikuu vya Kikatoliki nchini.
Mkuu ingawa sijui elimu yako lakini huu upeo wako wa kufikiri na kuchambua mambo unawakilisha watu wa dini yako msivyo na upeo wa kufikiria kikubwa based on fact
Labda kukusaidia ni kuwa tatizo sio vyuo gani wamesoma
Tatizo ni mfumo uliopo makazini ndio mbovu unaotoa mwanya huo.
Kama elimu yako ni ya madrasa najua hata hili nililokujibu litakuwa limekuzidi uwezo wa upeo wenu kulitambua
 
Mkuu ingawa sijui elimu yako lakini huu upeo wako wa kufikiri na kuchambua mambo unawakilisha watu wa dini yako msivyo na upeo wa kufikiria kikubwa based on fact
Labda kukusaidia ni kuwa tatizo sio vyuo gani wamesoma
Tatizo ni mfumo uliopo makazini ndio mbovu unaotoa mwanya huo.
Kama elimu yako ni ya madrasa najua hata hili nililokujibu litakuwa limekuzidi uwezo wa upeo wenu kulitambua


Hii hoja ilishatolewa siku nyingi sana kuhusu vyuo na mchango wao ktk Society


[h=1]Are Business Schools Failing the World?[/h]




By WILLIAM J. HOLSTEIN
Published: June 19, 2005
JEFFREY E. GARTEN, 58, who is stepping down after 10 years as dean of the Yale School of Management, says he does not think American business schools are doing a good enough job. Here are excerpts from a conversation with Mr. Garten, who became the dean after a career on Wall Street specializing in debt restructuring abroad and a stint as under secretary of commerce for international trade.
Sean Kelly​



Q. Do you feel that in your 10 years, you were able to improve the way business students are educated?
 
Jamani mkisikia UPUPU ndio huu. Mi naona Mtoa mada ametumia MAKALIO KWEKA THREAD YAKE.

Hii ni HOJA ya Msingi


[h=1]Are Business Schools Failing the World?[/h]




By WILLIAM J. HOLSTEIN
Published: June 19, 2005
JEFFREY E. GARTEN, 58, who is stepping down after 10 years as dean of the Yale School of Management, says he does not think American business schools are doing a good enough job. Here are excerpts from a conversation with Mr. Garten, who became the dean after a career on Wall Street specializing in debt restructuring abroad and a stint as under secretary of commerce for international trade.
Sean Kelly​



Q. Do you feel that in your 10 years, you were able to improve the way business students are educated?
 
TZ ni nchi yenye Rushwa na Ufisadi Mkubwa sana Duniani. Ukichunguza wafanyakazi wengi Serikalini ni Graduate kutoka ktk vyuo kama Tumaini University nk. Sasa hii Rushwa na Ufisadi mbona havipigwi vita sana na hawa Graduate kutoka hivi vyuo vya Kidini (Catholics)? Je kuna Courses zozote za Ethics ambazo zinafundishwa?<br />
<br />
Hii information imetokana na wingi wa Vyuo Vikuu vya Kikatoliki nchini.
<br />
Jamani mnisaidie hivi Tumaini ni chuo cha kikatoriki?
 
Hii ni HOJA ya Msingi


Are Business Schools Failing the World?






By WILLIAM J. HOLSTEIN
Published: June 19, 2005
JEFFREY E. GARTEN, 58, who is stepping down after 10 years as dean of the Yale School of Management, says he does not think American business schools are doing a good enough job. Here are excerpts from a conversation with Mr. Garten, who became the dean after a career on Wall Street specializing in debt restructuring abroad and a stint as under secretary of commerce for international trade.

Sean Kelly​




Q. Do you feel that in your 10 years, you were able to improve the way business students are educated?
Nilisha kwambia majibu yamekuzidi upeo wako wa ufahamu na kujitutumua umeona u copy na ku paste habari haina kichwa wala miguu
 
kweli katumia makalio kuweka thread .Tumaini si chuo cha katoliki ni chuo cha kkkt .mkubwa wake ni malasusa askofu mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom