Vyoo vya ndani vimekuwa chanzo cha kupunguza ujasiri waume kwa wake kuogopa kutoka usiku kiasi cha kukojoa kwenye mazururu

Kiwango cha hofu na woga kwa watu kinapanda kwa kasi sana siku hizi!

Iko haja kamati za ulinzi na usalama kila mtaa kufanya kikao!

Kiwango cha wanaokojoa kwenye mazururu (makopo) kimeongezeka sana! waume kwa wake!
Halafu hata nashindwa kuelewa; Ile chupa ya maji ilivyochongoka mwanamke anajibetua vipi hadi alenge kale katobo mkojo usimwangike nje? hiyo shughuli ya kulenga si bora atoke nje tu!
Kinachoshangaza zaidi ni pale asubuhi unamuona mtu chupa ipo top full, sasa unajiuliza mkojo huo alipima Wa nusu rita au alibania mwingine?

Ukitaka kuyajua haya tembelea watu asubuhi na mapema kabla hawajaamka! uone kila mtu anavyotoka na kopo, tena siku hizi hadi wanaume!

Magheto ya hao watu yananuka mikojo tupu!

Uoga ni Ugonjwa! Uoga ni pepo usiombe kulikalibisha!
hata ikitokea kibaka kaiba watu Wa namna hii wakisikia hawatoki!

Hivi nyumbani kwako kabisa mwanaume/mwanamke unaogopa kutoka kukojoa?
Mtoto anakuamsha akakojoe unampa kopo?
HALAFU POLISI WAKICHELEWA KUKAMATA JAMBAZI KUTWA KULAUMU; wakati nyumbani kwake tu kwenda nje chooni usiku hawezi!
Chunga sana. Tabia ya kuchungulia madirisha ya watu usiku, utavalishwa Dunlop shingoni na kuberiti chwa!

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Mimi huwa najiuliza yaan kabla hujala Mbususu anaomba ruhusa akakojoe ,ukila round ya kwanza anaenda kukojoa ,ukienda round ya pili mkojo huo ....kwanini wanawake mnakojoa Sana wakati tunapokula mbususu
Njia ya kuzuia mimba
 
Unakaa CHANG'OMBE Dodoma....
Unakaa CHANIKA Dar.......

Halafu utoke nje usiku?!!!

Weeeee 🤣🤣🤣🤣
 
Sasa kama nyumba hizi za kupanga watu wanaishi msururu wanaogopa kupigana vikumbo huko chooni na wake za watu:D:D:D
Kabisa mkuu unakuta wamejazana uani wanafua na kuongea umbea wao, bora kujimegea geto umo umo kuliko kutoka kuwapa story na salam zisizo za lazima
 
Mimi mmoja wao

Ila sababu uliyoandika sikweli au ndogo sababu kubwa
1)Uchovu, imagine usingizi ushajaa unataka vuta shuka mkojo unazogoa

2)Hali ya hewa kama mvua, imagine usiku mvua alafu utoke ulowe

Ila chupa naitoa usiku
 
Mimi mmoja wao

Ila sababu uliyoandika sikweli au ndogo sababu kubwa
1)Uchovu, imagine usingizi ushajaa unataka vuta shuka mkojo unazogoa

2)Hali ya hewa kama mvua, imagine usiku mvua alafu utoke ulowe

Ila chupa naitoa usiku
Chumba hakinuki mikojo?
 
Mimi huwa najiuliza yaan kabla hujala Mbususu anaomba ruhusa akakojoe ,ukila round ya kwanza anaenda kukojoa ,ukienda round ya pili mkojo huo ....kwanini wanawake mnakojoa Sana wakati tunapokula mbususu
Wanawake wakisuguliwa vizuri mkojo wa maji unakuja wenyewe. Tena wengine kabla hajakojoa mkojo wa kikubwa anaenda kwanza kukojoa mkojo wa maji

Wanasayansi watuelezee hili
 
Kiwango cha hofu na woga kwa watu kinapanda kwa kasi sana siku hizi!

Iko haja kamati za ulinzi na usalama kila mtaa kufanya kikao!

Kiwango cha wanaokojoa kwenye mazururu (makopo) kimeongezeka sana! waume kwa wake!
Halafu hata nashindwa kuelewa; Ile chupa ya maji ilivyochongoka mwanamke anajibetua vipi hadi alenge kale katobo mkojo usimwangike nje? hiyo shughuli ya kulenga si bora atoke nje tu!
Kinachoshangaza zaidi ni pale asubuhi unamuona mtu chupa ipo top full, sasa unajiuliza mkojo huo alipima Wa nusu rita au alibania mwingine?

Ukitaka kuyajua haya tembelea watu asubuhi na mapema kabla hawajaamka! uone kila mtu anavyotoka na kopo, tena siku hizi hadi wanaume!

Magheto ya hao watu yananuka mikojo tupu!

Uoga ni Ugonjwa! Uoga ni pepo usiombe kulikalibisha!
hata ikitokea kibaka kaiba watu Wa namna hii wakisikia hawatoki!

Hivi nyumbani kwako kabisa mwanaume/mwanamke unaogopa kutoka kukojoa?
Mtoto anakuamsha akakojoe unampa kopo?
HALAFU POLISI WAKICHELEWA KUKAMATA JAMBAZI KUTWA KULAUMU; wakati nyumbani kwake tu kwenda nje chooni usiku hawezi!
Makopoooo, makopo!

Mbona mkuu uliwaza kimasikini sana?

Sijaona popote ulipozungumzia ama kushauri kutumia vyoo vya ndani usiku kwa ajili ya usalama, ukabaki tu kuongelea makopo!

Ni wapi huko ulikoongelea uswahilini kwa wakazi wote kutokuwa na vyoo vya ndani na kuishia kujisaidia kwenye makopo?

Hii dunia ilivyojaa vibaka unashauri mtu atoke nje usiku kipumbaf pumbaf kujisaidia!

Halafu akitoka usiku na akadhuriwa, utaandika nini baada ya hapo?

Kweli akili ni nywele!
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana,enzi marehemu bibi yangu...... alikua anatumia sana hayo Mazururu,japo sio neno rasmi sana
 
🤣🤣🤣😂😂😁😁😁😂
Logopit_1622805436757.png
 
Back
Top Bottom