Vyombo vyetu vya habari vinatuharibia lugha ya Kiswahili

ijoz

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
731
709
Ni ajabu kwa vyombo vyetu vya hapa nchini vinavyokosea kuandika lugha adhimu ya kiswahili.
Baada ya Mechi kati ya Simba na Kagera Sugar, Azam Two kwenye yale maandishi wameandika Chersea 3 ( badala ya Chelsea), MPILA (badala ya mpira) unaendelea.
Channel Ten jana tarehe 14/10 (nadhani kwenye kipindi cha Baragumu Live), wakaandika Miaka 17 BIRA Baba wa Taifa (Badala ya kuandika Bila).
Ingekuwa kiingereza tungejitetea kuwa ni lugha ngeni, lakini hata kiswahili!!! Kama vyombo ambavyo naamini vina wataalamu wa lugha, na wahariri wa vyombo vya habari kuandika makosa kama hayo, sishangai kuona watu wanaandika lugha za ajabu ajabu wakiita kiswahili, pengine wanavyotazama vyombo vya habari wanaamini kinachoandikwa ni sahihi.
Tukosee mengine, lakini hata kiswahili tuendelee kukosea????
 
Ni ajabu kwa vyombo vyetu vya hapa nchini vinavyokosea kuandika lugha adhimu ya kiswahili.
Baada ya Mechi kati ya Simba na Kagera Sugar, Azam Two kwenye yale maandishi wameandika Chersea 3 ( badala ya Chelsea), MPILA (badala ya mpira) unaendelea.
Channel Ten jana tarehe 14/10 (nadhani kwenye kipindi cha Baragumu Live), wakaandika Miaka 17 BIRA Baba wa Taifa (Badala ya kuandika Bila).
Ingekuwa kiingereza tungejitetea kuwa ni lugha ngeni, lakini hata kiswahili!!! Kama vyombo ambavyo naamini vina wataalamu wa lugha, na wahariri wa vyombo vya habari kuandika makosa kama hayo, sishangai kuona watu wanaandika lugha za ajabu ajabu wakiita kiswahili, pengine wanavyotazama vyombo vya habari wanaamini kinachoandikwa ni sahihi.
Tukosee mengine, lakini hata kiswahili tuendelee kukosea????
Mkuu kila mahali ni vilaza. Halafu wakiitwa vilaza wanafoka. Elimu ya Tanzania ni majanga. Sidhani kama kuna nchi duniani yenye wahitimu wa sekondari na vyuo vikuu wenye upeo mdogo kama Tanzania.
 
Usaili haufanyiki kwa usahihi kwenye vituo vya TV na Redio kuwepo na chombo cha kufuatilia haya mambo tuongeze ajira
 
Ni ajabu kwa vyombo vyetu vya hapa nchini vinavyokosea kuandika lugha adhimu ya kiswahili.
Baada ya Mechi kati ya Simba na Kagera Sugar, Azam Two kwenye yale maandishi wameandika Chersea 3 ( badala ya Chelsea), MPILA (badala ya mpira) unaendelea.
Channel Ten jana tarehe 14/10 (nadhani kwenye kipindi cha Baragumu Live), wakaandika Miaka 17 BIRA Baba wa Taifa (Badala ya kuandika Bila).
Ingekuwa kiingereza tungejitetea kuwa ni lugha ngeni, lakini hata kiswahili!!! Kama vyombo ambavyo naamini vina wataalamu wa lugha, na wahariri wa vyombo vya habari kuandika makosa kama hayo, sishangai kuona watu wanaandika lugha za ajabu ajabu wakiita kiswahili, pengine wanavyotazama vyombo vya habari wanaamini kinachoandikwa ni sahihi.
Tukosee mengine, lakini hata kiswahili tuendelee kukosea????
Ni ajabu sana! Siku hizi watu wengi hawajui wapi watumie L na wapi watumie R
Na hili tatizo sana lipo kwa hawa dot.com
 
Hili la Lugha magazeti ndio shida, unakuta mwandishi anaandika tena kwa kurudia zaidi ya mara mbili dhamani akimaanisha thammani, na dhawabu akimaanisha thawabu. Kuna tatizo kubwa sana kwenye matumizi sahihi ya Lugha.
 
Huwa mnaishia kusema wanaharibu lugha ila hamueleza wanaharibu vp hiyo lugha?
 
Back
Top Bottom