Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Nakubali kwamba pamoja na changamoto za kawaida kitaasisi kuna changamoto ambazo tunazisababisha cc RAIA
Utulivu wa nchi yetu ni kielelezo cha uchapaji kazi wenu
Mwenyezi mungu vibariki vyombo vyetu vya ulinzi na usalama japo RAIA hawalitambui hili
Uzi huu naomba tutoe pongezi kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama
Tiss
Jwtz
Polisi
Magerereza
Uhamiaji
Tmi
Nk
Uraia wetu tunaposhika nafasi nyeti huwa tunakwaza utendaji wenu mtusamehe
Utulivu wa nchi yetu ni kielelezo cha uchapaji kazi wenu
Mwenyezi mungu vibariki vyombo vyetu vya ulinzi na usalama japo RAIA hawalitambui hili
Uzi huu naomba tutoe pongezi kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama
Tiss
Jwtz
Polisi
Magerereza
Uhamiaji
Tmi
Nk
Uraia wetu tunaposhika nafasi nyeti huwa tunakwaza utendaji wenu mtusamehe