Vyombo vya habari vinewasaliti Wamachinga na Watanzania

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba serikali imeviziba mdomo vyombo vya Habari visimulike zoezi la kuhamisha wamachinga. Hili suala linafanyika kimyakimya huku ndani yake kukiwa na maumivu makali sana juu ya Maisha na mitaji ya wamachinga.


Lililopo Nyuma ya pazia ni kwamba:

  • Wengi wanapoteza mitaji ambayo wamekopa.
  • Wengi wao wanapelekwa kwenye maeneo ambayo hayana wanateja. Wafanyabiashara hapa wataelewa ila wasomi hawawezi elewa.
  • Kuna vipigo vinaendelea na manyanyaso ya kimya kimya. Hawana uhuru wa kudai hadi zao.
  • Zoezi linaendeshwa kininja sana. Wanadai mda walio pewa hautoshi kutafuta maeneo wanayo ona yanafaa kufanyie biashara yaani yenye wateja. Badala yake wameanza kula mitaji na kubaki makapuku.
Muhimu:

1. Rais afuatilie vizuri vinginevyo tukutane 2025 tuone kura zinatoka wapi.

2. Kama vyombo vya Habari vikiendelea kuzibwa midomo basi tuhesabu maimivu huko tuendako.
Rudi kwenu kenge wewe
 
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba serikali imeviziba mdomo vyombo vya Habari visimulike zoezi la kuhamisha wamachinga. Hili suala linafanyika kimyakimya huku ndani yake kukiwa na maumivu makali sana juu ya Maisha na mitaji ya wamachinga.


Lililopo Nyuma ya pazia ni kwamba:

  • Wengi wanapoteza mitaji ambayo wamekopa.
  • Wengi wao wanapelekwa kwenye maeneo ambayo hayana wanateja. Wafanyabiashara hapa wataelewa ila wasomi hawawezi elewa.
  • Kuna vipigo vinaendelea na manyanyaso ya kimya kimya. Hawana uhuru wa kudai hadi zao.
  • Zoezi linaendeshwa kininja sana. Wanadai mda walio pewa hautoshi kutafuta maeneo wanayo ona yanafaa kufanyie biashara yaani yenye wateja. Badala yake wameanza kula mitaji na kubaki makapuku.
Muhimu:

1. Rais afuatilie vizuri vinginevyo tukutane 2025 tuone kura zinatoka wapi.

2. Kama vyombo vya Habari vikiendelea kuzibwa midomo basi tuhesabu maimivu huko tuendako.
Nilijiuliza hata mimi,watu Hawa wanalalamika hawajatafutiwa maeneo Zaid ya kukejeliwa tu na Wana hoji ila hakuna vyombo vya habari vinavyoamua walau kufatilia kujua ukweli wa taarifa hizo
 
Kwa hiyo ilivyofanyika 2020 iendelee hivyo hivyo?
Ungana nasi kudai katiba mpya nchi iendeshwe kwa utawala wa sheria, na sio kwa utashi wa rais na genge lake kama alivyofanya mwendakuzimu.
 
Back
Top Bottom