Tulichokiona Umma na walichopewa waandishi wa habari hadi sasa ni Press Release ya Ndugai kuhabarisha kuwa amemwandikia Katibu Mkuu wa CCM "Barua" ya kujiuzulu nafasi yake ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa hiyo aliyeona BARUA ya Ndugai ni Chongola peke yake, na pengine Katibu wa Bunge aliyenakilishwa hiyo barua, wengine wote tumeona PRESS RELEASE/TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Lakini matiganga yaliyojaa katika vyombo vya habari Tanzania yanaripoti kuwa hiyo ni BARUA😀
Mfano huu hapa:
Kwa hiyo aliyeona BARUA ya Ndugai ni Chongola peke yake, na pengine Katibu wa Bunge aliyenakilishwa hiyo barua, wengine wote tumeona PRESS RELEASE/TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Lakini matiganga yaliyojaa katika vyombo vya habari Tanzania yanaripoti kuwa hiyo ni BARUA😀
Mfano huu hapa: