Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 57
Nasikitika na hivi vyombo vya habari kwa kushindwa kufuatilia hali ya wafanyakazi migodini! Matukio ya ajali yanatisha! mwezi uliopita mtu kafa kwa kuangukiwa na mwamba bwana EMMANUEL MRUTU....leo tena ni siku ya tatu mfanyakazi kapotelea chini ya ardhi! uongozi wa mgodi upo kimya na serikali ipo kimya! Ndugu zangu ni nani mtetezi wetu sekta ya madini.....vya vya wafanyakazi vilifanyiwa mizengwe mpaka muda huu mara NUMET mara TAMICO! Watanzania tunaangamia