vyombo vya habari hapa Tz havinà nguvu kabisa ,sasa hivi mitandao ya kijamii ndo kila kitu.
Mgombea anayekubarika mitandaoni basi ndo anayependwa huu ndo ukweli.
Watu radio na Magazeti awayasikilizi sana, labda wazee wamakamo tu tuweni wakweli tu.
Hii hoja ya Rais wa mitandao , basi tuseme Ccm watapata Rais wa redio na magazeti.
Mgombea anayekubarika mitandaoni basi ndo anayependwa huu ndo ukweli.
Watu radio na Magazeti awayasikilizi sana, labda wazee wamakamo tu tuweni wakweli tu.
Hii hoja ya Rais wa mitandao , basi tuseme Ccm watapata Rais wa redio na magazeti.