MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Hakuna coverage ya maana kuhusu tukio la Arusha.Bila mtandao kama JF hakuna chombo cha habari kinachotoa updates live ktk tukio hili zito kabisa na mbaya zaidi baadhi ya magazeti yameipa uzito mdogo na wengine hawajaiandika.
Huu mtindo wa kutoshikamana seriously pale swala zito kama hili linapotokea hatutamaliza tatizo kama hili.
Nashangazwa na jinsi vyombo vya habari vinavyo react taratibu while wao pia ni waadhirika wa huu upuuzi.
Hivi ingekuwa hata Kenya Citizen wangekuwa wanarusha vipindi vya kawaida kama TV zetu sasa hivi?
Tunahujumiana alafu baadae mnataka mshikamano huu ni unafiki.
Angalizo:
Taifa Stars leo mfunge vitambaa vyeusi pia kuwe na dk 3 za ukimya.
Huu mtindo wa kutoshikamana seriously pale swala zito kama hili linapotokea hatutamaliza tatizo kama hili.
Nashangazwa na jinsi vyombo vya habari vinavyo react taratibu while wao pia ni waadhirika wa huu upuuzi.
Hivi ingekuwa hata Kenya Citizen wangekuwa wanarusha vipindi vya kawaida kama TV zetu sasa hivi?
Tunahujumiana alafu baadae mnataka mshikamano huu ni unafiki.
Angalizo:
Taifa Stars leo mfunge vitambaa vyeusi pia kuwe na dk 3 za ukimya.