LUKAZA
Senior Member
- Nov 30, 2010
- 140
- 70
Vyombo vya Dola visipokuwa makini na kuziwacha kauli za uwongo kuendelea kutamkwa na viongozi bila ya kuchukuliwa hatua itafika wakati jamii itaamini kuwa kusema Uwongo kwa kiongozi ni sawabu na akisema wa chini ni dhambi kwani imezoweleka viongozi kuwahamasisha wadau kwa kusema uwongo
Kwa Mfano ktk mazungumzo hayo Malim Seif amesema yeye anafanya Siasa Msikitini kwa Kuwa hata Rais Magufuli Anakwenda msikitini na kufanya siasa Msikitini kitu ambacho hakijawahi kutokea na kama Malim au kuna Mdau amewahi kumuona Magufuli kenda msikitini na kufanya siasa basi aseme na kama uwongo basi MaalimSeif anapaswa kuchukuliwa hatua kali
Video: Maalim Seif akinguruma leo: Nia ya Nyerere ilikuwa ni kuifuta ZNZ. - Mzalendo.net
Kwa Mfano ktk mazungumzo hayo Malim Seif amesema yeye anafanya Siasa Msikitini kwa Kuwa hata Rais Magufuli Anakwenda msikitini na kufanya siasa Msikitini kitu ambacho hakijawahi kutokea na kama Malim au kuna Mdau amewahi kumuona Magufuli kenda msikitini na kufanya siasa basi aseme na kama uwongo basi MaalimSeif anapaswa kuchukuliwa hatua kali
Video: Maalim Seif akinguruma leo: Nia ya Nyerere ilikuwa ni kuifuta ZNZ. - Mzalendo.net