Mshamba wa Kijijini
Member
- Oct 5, 2007
- 74
- 1
Tuungane kuikataa POLISI ya Tz kwanini hawachukui hatua kwa watu wote na kubagua aina na makundi ya watu?
nani hajui kuwa yule mbunge KIMEO wa jimbo la Buchosa alifoji vyeti na hili likathibitishwa na polisi kuwa ni kweli vyeti vyake ni vya kufoji na kutoa hati hiyo?
sasa naomba, kujua kwanini polisi haijamkamata huyu mbunge na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria za makosa ya kughushi?
cha ajabu hata alipofunguliwa mashtaka huko mahakamani mwanza, hakimu amefutilia mbali kesi hiyo je tutaacha kila kitu kiwe hivi?
rais kikwete alipokuwa ziarani alisema wapinzani wanamuonea wivu hii ni kauli ya kiongozi wa nchi kweli?
kwanini wanasheria wasiungane kumshitaki huyu?
nani hajui kuwa yule mbunge KIMEO wa jimbo la Buchosa alifoji vyeti na hili likathibitishwa na polisi kuwa ni kweli vyeti vyake ni vya kufoji na kutoa hati hiyo?
sasa naomba, kujua kwanini polisi haijamkamata huyu mbunge na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria za makosa ya kughushi?
cha ajabu hata alipofunguliwa mashtaka huko mahakamani mwanza, hakimu amefutilia mbali kesi hiyo je tutaacha kila kitu kiwe hivi?
rais kikwete alipokuwa ziarani alisema wapinzani wanamuonea wivu hii ni kauli ya kiongozi wa nchi kweli?
kwanini wanasheria wasiungane kumshitaki huyu?