Vyombo vya dola endeleeni kuwa macho. Kuna baadhi ya watanzania wenzetu wamedhamiria kuiingiza Nchi katika machafuko ya kisiasa

Watapata mpapaso wa haja, watafurahi mbona...!

Hilo la kupigwa tu mbona liko wazi, ila tume huru ya uchaguzi itapatikana lazima. Tena tunahitaji hicho kipigo ili kilio chetu kipate suluhisho.
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
Mada yako imekaa kijumla jumla mno.

Mada nzito kama hii halafu unaifanyia utani kama huu unataka watu wajadili nini.

Unayo mifano ya wanasiasa hao, na unaelewa kwa nini wanafikiria kufanya hivyo kama ni kweli? Wao wameamua tu kupanga maovu bila ya sababu zozote? Mbona huelezi.

Hivyo vyombo vya ulinzi unavyovihimiza, una hakika haviegemei upande mmoja wa siasa?

Naona huna uwezo wa kuanzisha mada nzito kama hii na kuisimamia ijadiliwe kwa umakini unaostahiri.
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.


Haha ” Ushindi hautakuwa upande wao” ndiyo maana tulipendekeza time huru😂😂 sasa kwanini wamekataa waangalizi? Mambo ya kujitakia jibu la kujitakia litapasuka tu
 
Hakuna wa kuleta vurugu hapa.Vyama vyote vya upinzani vina watu wetu na kila walipangalo linajulikana hata kabla wino kukauka.CCM itashinda na watakaoleta hata dalili ya kukaidi wanaweza kukosa hata uhai.Nasoma sana kuhusu torture na nisingeomba yanikute nikiwa hai na ningeomba wananchi wenzangu hata kama umedhulumiwa usishindane na dola hasa kipindi hiki.Uchaguzi serikali za mitaa umepita na CCM imeshinda kwa asilimia kubwa na maisha yanaendelea na October yatatokea hayo na maisha yataendelea.Sisi si watu wa vurugu na tuendelee hivyo hivyo.

Hivi unatarajia watu wataendelea kuwa wajinga na waoga muda wote. Uchaguzi wa sm ccm haikushinda Bali ilinajisi uchaguzi. Kama mnatarajia kila siku ni Ijumaa basi kaeni vizuri.
 
Hivi unatarajia watu wataendelea kuwa wajinga na waoga muda wote. Uchaguzi wa sm ccm haikushinda Bali ilinajisi uchaguzi. Kama mnatarajia kila siku ni Ijumaa basi kaeni vizuri.
Kama uchaguzi ulinajisiwa kipi kilitokea?Watanznaia ni watu ambao hawataki kujisumbua na kuingia katika misukosuko.Kitakachotokea ni kuwa wapiga kura watakuwa wachache,vyombo vya dola vitajitokeza kwa nguvu na ku display mighty yao.Nani wa kutoka??
 
Mada yako imekaa kijumla jumla mno.

Mada nzito kama hii halafu unaifanyia utani kama huu unataka watu wajadili nini.

Unayo mifano ya wanasiasa hao, na unaelewa kwa nini wanafikiria kufanya hivyo kama ni kweli? Wao wameamua tu kupanga maovu bila ya sababu zozote? Mbona huelezi.

Hivyo vyombo vya ulinzi unavyovihimiza, una hakika haviegemei upande mmoja wa siasa?

Naona huna uwezo wa kuanzisha mada nzito kama hii na kuisimamia ijadiliwe kwa umakini unaostahiri.
...heri yako!
 
Kila uchaguzi huwa yanasemwa hayo. Hiki sio chama cha kuzikana mkuu ni NCHI yenye serikali THABITI. Mwenye huo ubavu hayupo na kama uliwaona waambie wajaribu walete mrejesho. Wote tunapenda amani na tunaijua thamani yake. Wanaotamani machafuko pia watafikiriwa namna ya kupewa haki yao bila kuathiri haki ya wengi tunaopenda amani.
Unayo midomo mingapi.

Mbona unaitumia yote kwa pamoja na huku ikipingana.

Haki pekee ndio suluhisho la yote hayo. Huna lazima ya kuweka vitisho kwa yeyote kama unajua haki inatendeka kwa kila mmoja ahusikae.
 
Mmh! Ya kweli haya? Hebu tuambie Chadema wanapanga nn?
Slaa alikuwa katibu Mkuu leo yupo wapi?Mashinji alikuwa katibu mkuu leo yuko wapi?Lowassa na Sumaye waliingia moja kwa moja kamati kuu ya Chadema na leo wako wapi?Je ni masharti gani ambayo walipewa kabla ya kurudishiwa kadi zao?
 
Kote Duniani unakosikia yametokea machafuko chanzo chake ni HAKI.
Ikiwa wanaosimamia haki za jamii watazifikisha mahali husika, hutaona wala kusikia machafuko.
Unapodhulumu haki ya jamii wala usihangaike, maana nchi hizi huwa zinakosa silaha za kuwazuia wananchi wanaodai haki zao zilizodhulumiwa.
Ni vema basi ushauri wa aina hii ungeulelekeza kwa wote wanaosimamia haki za jamii, watende yaliyo ya haki kwa mujibu wa Katiba ili kuiepusha nchi yetu na majanga ya aina hiyo
 
Slaa alikuwa katibu Mkuu leo yupo wapi?Mashinji alikuwa katibu mkuu leo yuko wapi?Lowassa na Sumaye waliingia moja kwa moja kamati kuu ya Chadema na leo wako wapi?Je ni masharti gani ambayo walipewa kabla ya kurudishiwa kadi zao?
Inashawishi sana kuamini uliyoweka hapa, lakini CHADEMA watakuwa hawana akili kichwani kuendelea na mipango iliyokwishabuma?

Na kama pangekuwa na lolote la nguvu toka kwa hao wasaliti wa CHADEMA, chama hicho kingesalimika hadi wakati huu wakati tukijua kila sababu zilitafutwa wasifike kwenye uchaguzi 2020?
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
Tungemuwa na wanausalama Kwanza wangehakikisha nchi inakuwa na tume huru ya uchaguzi Ila hawa wachumia tumbo tutolee hapa
 
Kama uchaguzi ulinajisiwa kipi kilitokea?Watanznaia ni watu ambao hawataki kujisumbua na kuingia katika misukosuko.Kitakachotokea ni kuwa wapiga kura watakuwa wachache,vyombo vya dola vitajitokeza kwa nguvu na ku display mighty yao.Nani wa kutoka??

Kwahiyo vyombo vya dola ni kwa ajili ya ccm kutangazwa washindi? Unataka kusema inatakiwa wapiga kura wachache ili kusiwe na fujo? Subiri uone kama kila siku ni Ijumaa.
 
Hakuna wa kuleta vurugu hapa.Vyama vyote vya upinzani vina watu wetu na kila walipangalo linajulikana hata kabla wino kukauka.CCM itashinda na watakaoleta hata dalili ya kukaidi wanaweza kukosa hata uhai.Nasoma sana kuhusu torture na nisingeomba yanikute nikiwa hai na ningeomba wananchi wenzangu hata kama umedhulumiwa usishindane na dola hasa kipindi hiki.Uchaguzi serikali za mitaa umepita na CCM imeshinda kwa asilimia kubwa na maisha yanaendelea na October yatatokea hayo na maisha yataendelea.Sisi si watu wa vurugu na tuendelee hivyo hivyo.
Aliyezoea kutesa wengine inaweza kuwa zamu yake ya kuteshwa pia? Unadhani hao watesaji wa Tanzania ni special sana?
 
Kila uchaguzi huwa yanasemwa hayo. Hiki sio chama cha kuzikana mkuu ni NCHI yenye serikali THABITI. Mwenye huo ubavu hayupo na kama uliwaona waambie wajaribu walete mrejesho. Wote tunapenda amani na tunaijua thamani yake. Wanaotamani machafuko pia watafikiriwa namna ya kupewa haki yao bila kuathiri haki ya wengi tunaopenda amani.
Mkuu unataka kusema APM yupo huko Kyolo kijijini kwake kwa kuwa hakuwa na serikali imara?
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.

Ni kweli kabisa hawa CCM wataingiza nchi kwenye machafuko.
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
Ccm wametangaza hadharani na kifichoni kuwa wako tayari kuua kupiga wapinzani,Hao polisi wanawaangalia tu
 
Unataka kusema inatakiwa wapiga kura wachache ili kusiwe na fujo? Subiri uone kama kila siku ni Ijumaa.
Wanaomba usiku na mchana watu wengi wasijitokeze kupiga kura. Hilo linawapa ushindi wa moja kwa moja. Unapoona vitisho vya aina hii, lengo ndilo hilo. Wapiga kura wasiende kupiga kura. Hao wachache wa CCM watakaokuwa wamejitokeza tayari ni ushindi kwao.
 
Back
Top Bottom