Vyombo vya dola endeleeni kuwa macho. Kuna baadhi ya watanzania wenzetu wamedhamiria kuiingiza Nchi katika machafuko ya kisiasa

Bila tume huru kweli....!!
Naona Chama tawala kinaleta machafuko....

Kwani wanaogopa nn ktk suala la tume huru.....!!?

Na wazee wapo wenye busara zao lkn na wao wanamuogopa Jiwe na genge lake.
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu. Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao. Jambo la hatari sana!

Kwa viashiria hivyo, naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.

Mungu ibariki Tanzania.
Yani wewe jitomba ujue habar nyeti hizo halafu wenye kazi yao wasijue,hatar sana
 
Ni kawaida ya walioko madarakani kulazimisha mambo hata pale inapoonekana kushindwa, kumwangusha aliyoko madarakani sio kazi nyepesi na ni lazima atafanya kila hila ili kuhakikisha nchi inavurugika.
 
Ni kawaida ya walioko madarakani kulazimisha mambo hata pale inapoonekana kushindwa, kumwangusha aliyoko madarakani sio kazi nyepesi na ni lazima atafanya kila hila ili kuhakikisha nchi inavurugika.
Unamaanisha CCM?
 
Back
Top Bottom