Jean piaget
Senior Member
- Mar 15, 2014
- 143
- 32
Hii tarifa ya kuweka vyeti vya shule/chuo dhamana ili upate mkopo CRDB mimi naona haiko sawa kabisa, kwa sababu unapokopa lazima urudishe mkopo uliokopa,
Je endapo utashindwa kurudisha mkopo kwa sababu mbalimbal bank itafanyia nini vyeti vya mhusika?
Pia mhusika atashindwa kuomba kazi yeyote endapo biashara yake itagoma.
Je kwa upande wa bank haioni kwamba haitofaidika na chochote na wale watakaoshindwa kurudisha mkopo? Maana lengo la bank ni kupata RIBA zaidi, je hivyo vyeti vitatoaje riba maana hawawez kuviuza kama ilivo kwenye nyumba, kiwanja au mali zingine.
NB: great thinkers naomba tujadili hili
Je endapo utashindwa kurudisha mkopo kwa sababu mbalimbal bank itafanyia nini vyeti vya mhusika?
Pia mhusika atashindwa kuomba kazi yeyote endapo biashara yake itagoma.
Je kwa upande wa bank haioni kwamba haitofaidika na chochote na wale watakaoshindwa kurudisha mkopo? Maana lengo la bank ni kupata RIBA zaidi, je hivyo vyeti vitatoaje riba maana hawawez kuviuza kama ilivo kwenye nyumba, kiwanja au mali zingine.
NB: great thinkers naomba tujadili hili