optimist
JF-Expert Member
- Sep 13, 2009
- 281
- 98
Wakuu wana jukwaa nimesikia mahojiano kati ya mwanafunzi mhitimu wa chuo hicho cha sayansi ya afya ST. AGGREY na radio moja jijini Mbeya anadai kuwa ni mwaka wa tatu mpaka sasa wana dai vyeti vyao original walivokusanya wakati wanaanza chuo lakini wanapewa majibu mepesi wameshajaribu kufuatilia wizarani wizara i.edai haikupokea vyeti,
Sasa swali la kujiuliza;
1/ kwa nini uongozi wa chuo umekuwa na kigugumizi juu ya suala hili?
2:/ Kama kweli vimepotea vimepoteaje vyeti vyote vya wanafunzi 120
Kama kweli chuo hiki kimefanya uzembe na kupoteza vyeti vya wanafuzi hao hakifai kuwa na dhamana ya kielimu kwa kuona hilo ni ujanja ujanja tu unaofanyika hapo.
Nawatakia kazi njema na ujenzi wa taifa
vyuma vimekaza
Mwisho nawatakia kazi njema
Sasa swali la kujiuliza;
1/ kwa nini uongozi wa chuo umekuwa na kigugumizi juu ya suala hili?
2:/ Kama kweli vimepotea vimepoteaje vyeti vyote vya wanafunzi 120
Kama kweli chuo hiki kimefanya uzembe na kupoteza vyeti vya wanafuzi hao hakifai kuwa na dhamana ya kielimu kwa kuona hilo ni ujanja ujanja tu unaofanyika hapo.
Nawatakia kazi njema na ujenzi wa taifa
vyuma vimekaza
Mwisho nawatakia kazi njema