focus ngajimala
Member
- Jun 18, 2012
- 58
- 5
Hapo mwanzo m2 mwenye degree alikua hadimu sana mtaani na ukisikia m2 anadegree unamuogopa but now dayz kimekua ni ki2 cha kawaida sana mtaani tena ndo vijana wanao ongoza kwa ufukara na vizinga YANI wanaomba mbaka tsh100/= hukuwakijipa moyo kwamba ONE DAY YES_na vyeti vyao vikiendelea kuliwa na panya..