Mr Popula 255
Member
- Aug 24, 2013
- 5
- 0
Wasomi wamekuwa watumwa wa taaluma zao.
Kama ni wewe kweli basi nakushauri uende jeshini ndo mahali patakapokufaa mtu kama wewe unayekusanya takwimu kulingana na ndugu au marafiki wako mnaojazana mawazo mgando.
Heri yao wasiokuwa na degree maana hao wataurithi ufalme wa dunia kwa utajiri .
Hapo mwanzo m2 mwenye degree alikua hadimu sana mtaani na ukisikia m2 anadegree unamuogopa but now dayz kimekua ni ki2 cha kawaida sana mtaani tena ndo vijana wanao ongoza kwa ufukara na vizinga YANI wanaomba mbaka tsh100/= hukuwakijipa moyo kwamba ONE DAY YES_na vyeti vyao vikiendelea kuliwa na panya..
sio kweli kabisa mr Thomas Odera, la sivyo tupe ushahidi!
mimi natoa wangu... mithali 4:13 inasema "mkamateni sana elimu, usimwache aende zake,mshike; maana yeye ndiye uzima wako"
Mkuu nimekubali, ahsante kwa ufafanuzi na ushahidisio kweli kabisa mr Thomas Odera, la sivyo tupe ushahidi!
mimi natoa wangu... mithali 4:13 inasema "mkamateni sana elimu, usimwache aende zake,mshike; maana yeye ndiye uzima wako"
Hapo mwanzo m2 mwenye degree alikua hadimu sana mtaani na ukisikia m2 anadegree unamuogopa but now dayz kimekua ni ki2 cha kawaida sana mtaani tena ndo vijana wanao ongoza kwa ufukara na vizinga YANI wanaomba mbaka tsh100/= hukuwakijipa moyo kwamba ONE DAY YES_na vyeti vyao vikiendelea kuliwa na panya..