Vyeti feki - Bandari haijaguswa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,570
217,923
Hili ndilo eneo ambalo wazazi huwarithisha kazi watoto wao , kwahiyo kuna uvunjifu mkubwa sana wa maadili ya ajira .

Ziko taarifa kwamba kuna kigogo mmoja amewaajiri House girls wake zaidi ya 10 , katika kipindi tofauti na kwamba hawakuwa hata na kigezo kimoja , shukrani ni kwamba sakata hili halijapita huko kwa kile kinachoitwa sababu maalum .

Tutaendelea kujuzana wote walioachwa na mustakabali wa sakata hili .

Tuendelee kuwemo humuhumu JF .

Mungu ibariki Tanzania .
 
Hili ndilo eneo ambalo wazazi huwarithisha kazi watoto wao , kwahiyo kuna uvunjifu mkubwa sana wa maadili ya ajira .

Ziko taarifa kwamba kuna kigogo mmoja amewaajiri House girls wake zaidi ya 10 , katika kipindi tofauti na kwamba hawakuwa hata na kigezo kimoja , shukrani ni kwamba sakata hili halijapita huko kwa kile kinachoitwa sababu maalum .

Tutaendelea kujuzana wote walioachwa na mustakabali wa sakata hili .

Tuendelee kuwemo humuhumu JF .

Mungu ibariki Tanzania .
karibu taasisi nyingi zimeguswa sema wamendika DAR ES SALAAM hawajaandika jina la taasisi kwahyo hata bandari wapo sema wamendika DAR ES SALAAM
 
Mbona wamegusa sehemu nyingi tu sema wameandika wilaya zilipo ofisi zao badala ya majina ya ofisi zao...
 
Hujasikia kua huu uhakiki ni wa watu na taasisi maalum? Au hujaskia kua watu kama wanasiasa na watu wengn hawajaguswa?

Mkuu walilengwa Local Govt ndio watoto wa kambo nchi hii na ama yatima kabisa wasio na baba na mama!!! Aibu yao!!
 
Dr wa Maganda ya korosho atailipa hii gharama ya waliofukuzwa,familia elfu 10 zote zinakuona wewe mbaya,hatakaa salama,aangalie upya kuwalipa mafao yao ya hifadhi japo kupunguza machungu.



Mafao waliyoyapata kwa kutumia ujuzi bandia?
 
Huko bandarini hata mwakyembe ana ndugu zake kama 50 hivi kuna utitiri wa vyeti feki
 
Back
Top Bottom