Vyeti feki: Baada ya form 4 sasa angalieni na digrii feki maofisini. Wako wengi wanatuumiza kwa huduma mbovu

robinson crusoe

JF-Expert Member
Oct 22, 2020
740
1,214
Nasikia kuna wabunge wanawatetea wenye vyeti feki, binafsi naomba serikali iongeze ukaguzi wa vyeti feki vya digrii serikalini. Utendaji mbovu unaojadiliwa baada ya Assad kuzungumzia uzoefu wake akiwa CAG, yawezekana ni matokeo ya watu hawa.

Tunao watu wengi na hasa wale waliijaribu elimu ya chuo kikuu na kushindwa kumaliza masomo yao, zipo taarifa kwamba mni wengi waliochomga vyeti feki na wengine sasa wana digrii ya pili.

Rais Samia, ongeza hili. Mwenzako alianza na form 4, wewe nenda mbali zaidi, ongeza vyeti feki vya digrii.
 
Tulia wewe degree aitolewi na NECTA sawa wala mtihani wake ausindikizwi na mabunduki, na wala wanafunzi wake hawana rokoo, wala hawakatazwi kunywa pombe, kujamiana, kuona, kubeba mimba sasa mtu uyu utamchunguzaje eti

Ebu heshimu degree iwe feki au halali iheshimu
 
Hapa bongo huo utaratibu ukianza watakaoguswa ni masikini tu afadhali waachwe tu, usitegemee mbunge kupatikana na cheti feki
Na hata mbunge akipatikana na hyo degree feki, provided anajua kusoma na kuandika anaendelea kupiga Ml.12 zake kwa mwezi bila wasiwasi wowote! Ila Ole ni kwa mwalimu wa sekondari anayelipwa Laki 3 akipatikana na hyo degree feki ni nyumbani one way, no discussion on that, wanyonge ndio watakao umizwa na hyo system!
 
Nasikia kuna wabunge wanawatetea wenye vyeti feki, binafsi naomba serikali iongeze ukaguzi wa vyeti feki vya digrii serikalini. Utendaji mbovu unaojadiliwa baada ya Assad kuzungumzia uzoefu wake akiwa CAG, yawezekana ni matokeo ya watu hawa.

Tunao watu wengi na hasa wale waliijaribu elimu ya chuo kikuu na kushindwa kumaliza masomo yao, zipo taarifa kwamba mni wengi waliochomga vyeti feki na wengine sasa wana digrii ya pili.

Rais Samia, ongeza hili. Mwenzako alianza na form 4, wewe nenda mbali zaidi, ongeza vyeti feki vya digrii.
We mjinga tu, nani kasema walofeli form four na wakapata degree hawakuguswa.
Anachosema mbunge ni kulipwa kwa stahiki zao.
Kama akili zako ni kama za mwendazake basi tangulia kama yeye
 
Nasikia kuna wabunge wanawatetea wenye vyeti feki, binafsi naomba serikali iongeze ukaguzi wa vyeti feki vya digrii serikalini. Utendaji mbovu unaojadiliwa baada ya Assad kuzungumzia uzoefu wake akiwa CAG, yawezekana ni matokeo ya watu hawa.

Tunao watu wengi na hasa wale waliijaribu elimu ya chuo kikuu na kushindwa kumaliza masomo yao, zipo taarifa kwamba mni wengi waliochomga vyeti feki na wengine sasa wana digrii ya pili.

Rais Samia, ongeza hili. Mwenzako alianza na form 4, wewe nenda mbali zaidi, ongeza vyeti feki vya digrii.
Majungu siyo mtaji
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom