LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,102
- 17,705
tatizo lipo pale walipogushi vyeti pamoja na kudanganya mamlaka za uajiri kwa kutumia vyeti bandia.
tunataka kuwapeleka mtaani na ujuzi wao wa kugushi.
naona hawakukaguliwa. saizi inabidi wakaguliwe sasa.
Mlitakiwa mkague kwanza cheti kabla hajaanza kozi mjiridhishe.