Molaro
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 813
- 567
sioni mantiki ya cheti halali au fake kwani hakuna tofauti ya mwenye cheki halali na fake wote ni sawa tu cha muhimu kama kazi wanaiweza pouwa 2 kwan tanzania tunafanyaga kazi kwa mazoea tu c kwa kile 2lichofundishwa shule
Wenye vyeti bandia utawajua tu.mmojawapo ww,kama hakuna umuhimu wa vyeti basi wote tufoji tu.