kubenafrank
Member
- Aug 14, 2011
- 82
- 22
Mimi nadhani mfumo wote uliopo sasa hivi ni mbovu sana.Ingekuwa vizuri kama tungekuwa na "ceremonial president"Huyu asiwe na madaraka yeyote katika serikali.Bali tuwe na waziri mkuu atakaechaguliwa kwa kura za watanzania ambae atawajibika moja kwa moja bungeni na kwa wananchi. Hii itatusaidia kuondoa msururu wa viongozi wasiokuwa na tija kiuchumi katika taifa letu.