VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
Haya mambo ya mimi CCM, CUF au Whatever might come later hayamsaidii Mtanzania.... What we need is mfumo mpya (What Chadema is fighting for) ili kuhakikisha kwamba yeyote atakayekuwa hapo juu hata tumia madaraka yake, kutunyonya.....
We need kupunguza matumizi as you all know nchi yetu ni masikini, we need transparency ili tujue ni nini kinafanyika wapi na viongozi wetu wananufaika vipi.
So without getting blinded by Chama naomba wadau mniambia nani anahitaji kutuongoza kutokana na sera zinazoeleweka.. (Baada ya kupitia Ilani za vyama tofauti naona Chadema ndio wanayo bora).... Nipo tayari kusahihishwa kama kuna Ilani bora kuliko ya Chadema
We need kupunguza matumizi as you all know nchi yetu ni masikini, we need transparency ili tujue ni nini kinafanyika wapi na viongozi wetu wananufaika vipi.
So without getting blinded by Chama naomba wadau mniambia nani anahitaji kutuongoza kutokana na sera zinazoeleweka.. (Baada ya kupitia Ilani za vyama tofauti naona Chadema ndio wanayo bora).... Nipo tayari kusahihishwa kama kuna Ilani bora kuliko ya Chadema