Vyama vyote vinatuma mawakala vituoni ili kwenda kukisimamia chama husika na kurudisha ripoti

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,590
20,899
In short mawakala kwa kipindi hiki huwa wameajiriwa kwa muda mfupi na vyama vyao kwa posho pengine isiyozidi 20,000, ni wajibu kurudisha ripoti kwa muajiri wao yaani vyama vyao na haiwezi kuwa ni hekima kukataliwa kuondoka na ripoti ambayo ndiyo wametumwa kuisimamia wakashindwa kutekeleza hilo baada ya uchaguzi kuisha na kura kuhesabiwa au zoezi kuisha ni wajibu mawakala hawa wakapatiwa nakala za uthibitisho wa kile walichotumwa na vyama vyao FORM 21A, 21b, na 21C. kwani kutokutolewa kwa form hizi kunaweza kutusababishia vurugu ndani ya taifa letu pendwa na linalotamaniwa na maadui lukuki
 
Tumpongeze jpm kwa maandalizi mazuri ya uchaguzi kupitia NEC na kampaini ya kistarabu
Natamani shuguli ya kumuapisha JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI kuingoza TANZANIA kwa miaka mingine mitano, ifanyikie uwanja wa Jamuhuri DODOMA.
 
Natamani shuguli ya kumuapisha JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI kuingoza TANZANIA kwa miaka mingine mitano, ifanyikie uwanja wa Jamuhuri DODOMA.
Kabla ya kutamani, Soma kwanza sheria na miongozo, Rais aliyepo madarakani akishinda uchaguzi haapishwi, anaendeleza kiapo chake cha awali, ndio maana hata namba ya awamu anayoongoza tena haibadiliki.
 
NI TUMAINI LANGU WATANZANIA TUTAJITOKEZA KWA WINGI NA KUIPIGIA KURA CCM TUIPENI TENA MITANO JPM AMALIZE KAZI ALIYOIANZA, isipokuwa sipendi kuvipuuza viashiria vyote vya uvunjifu wa AMANI yetu
 
Back
Top Bottom