Serikali yako sikivu inakupenda.hyo 75% inakutunzia kwa sababu we huna akili ya kujitunzia.ila wenyewe wamejipitishia sheria ya kujilipa asilimia 100.Kwakweli Kwa hili,Mungu mkubwa,najuta kuwa mtumishi wa Serikali.Huu Ni ukatili wa Hali ya juu,tunawakabidhi Kwa mungu,mungu atatulipia sisi wastaafu