Wakuu,
Mkulima wa Tanzania anateswa naamini kuliko yeyote duniani.
Unalima kwa gharama zako, unapalia na kuweka mbolea hadi hapo huoni mtu wala serikali kuja.
Mazao yakiiva unapangiwa sehemu ya kuuza tena na bei wapange wao sijui wanawaza nini?
Ifike hatua huu udalali wa stakabadhi ghalani uishe maana umekaa kiujanjaujanja na haumfai mkulima kwa lolote.
Mkulima wa Tanzania anateswa naamini kuliko yeyote duniani.
Unalima kwa gharama zako, unapalia na kuweka mbolea hadi hapo huoni mtu wala serikali kuja.
Mazao yakiiva unapangiwa sehemu ya kuuza tena na bei wapange wao sijui wanawaza nini?
Ifike hatua huu udalali wa stakabadhi ghalani uishe maana umekaa kiujanjaujanja na haumfai mkulima kwa lolote.