Elections 2010 Vyama vya upinzani

werema01

Member
Feb 10, 2010
47
0
Nina swali: Ipi rahisi

cuf kuungana na chadema?

Au

cuf kuungana na ccm?

Naomba supporting document
 
Nimesema hivyo sababu nina imani bw. Lipumba anajua moyoni mwake kuwa matokeo yaliyotangazwa na nec hayaoneshi hali halisi....
Akilijua hilo, kaenda viwanja vya karimjee kumpongeza jk.... Huyu anaimarisha upinzani au anauua?

Tutaendelea na mapinduzi ya kifikra mpaka kieleweke
 
Back
Top Bottom