Vyama vya Upinzani vyataka Spika Ndugai ajishushe kufuatia sakata la Bunge na CAG

sarakasi zote tunazoshuhudia za ukiukwaji wa katiba, wizi , kuviziana, ubabe , ufisadi kutekana , kuuana, kutukanana, kutesana and the like zitakufa a natural death in 50 years baada ya genge la wahusika wote kufukiwa na udongo, i wish wabongo wangetulia tu na kutafuta mkate wa familia, this is my theory of generation/ population! yaani huwa nacheka sana wabongo wakilalamikia chochote from the state!!! imani yangu hakuna ambacho kelele na mayowe vitabadilisha sababu we deal with the same manifesto , the same heads/brains/minds in power for almost 58 years now, si wanazeeka na kuchoka hamna macho? wengine hata kuongea kwa kitetemeshi!!wengine kutembea kwa shida! wengine wako kwenye coma! wengine spana mkononi kila siku wako India!!! for me kulalamika is just a waste of energy and time!! wenye akili watanielewa!!!
Yani kelele hazisaidii yani kabsaa umuachie ngulue shamba lako la mihogo kisa huna mkuki?
 
sarakasi zote tunazoshuhudia za ukiukwaji wa katiba, wizi , kuviziana, ubabe , ufisadi kutekana , kuuana, kutukanana, kutesana and the like zitakufa a natural death in 50 years baada ya genge la wahusika wote kufukiwa na udongo, i wish wabongo wangetulia tu na kutafuta mkate wa familia, this is my theory of generation/ population! yaani huwa nacheka sana wabongo wakilalamikia chochote from the state!!! imani yangu hakuna ambacho kelele na mayowe vitabadilisha sababu we deal with the same manifesto , the same heads/brains/minds in power for almost 58 years now, si wanazeeka na kuchoka hamna macho? wengine hata kuongea kwa kitetemeshi!!wengine kutembea kwa shida! wengine wako kwenye coma! wengine spana mkononi kila siku wako India!!! for me kulalamika is just a waste of energy and time!! wenye akili watanielewa!!!
Leo umekuja kivingine kabisa, ambavyo sijapata kukusoma.

Nilitaka ku'quote mistari miwli tu ya mwanzo ya bandiko lako, kadri nilivyoendelea kusoma, nikaona nilibebe lote kwa uzito wake.

Virusi na hata bakteria wanazaana, na hawabadiliki wakawa tofauti za wazazi wao; leo wewe unataka Tanzania isubiri miaka 50, watakaokuja watakuwa ni waTanzania tofauti na hawa tulionao sasa hivi!

Okay, naelewa vyema dhana ya 'evolution', lakini kutegemea ndani ya miaka 50 itokee?

Kinachotakiwa sasa hivi ni kuiondoa CCM kwa njia yoyote ile, tuanze upya. Vinginevyo hatuendi popote kama taifa.
 
Aisee polisi wachunguze haraka sana
Screenshot_20190415-100052.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom