Uchaguzi 2020 Vyama vya Upinzani vingekuwa na umoja huu Uchaguzi ulikuwa wa kususiwa

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,461
8,669
CCM hawako tiyari kwa Uchaguzi, kuna hujuma kali sana zinaendelea usiku na mchana na hazina mwisho na tutajuta mno kuingia kwenye huu uchaguzi, sioni mwanga, naona giza tupu, uhuni huu unaofanywa kwa sasa ni trela tu ya picha yenyewe hapo October.

Shida ni pale vyama kama CUF na NCCR wanapoamua kuunga juhudi, wameunga juhudi na sasa wanasulubia vibaya mno.

Huu Uchaguzi sio kabisa, ilikuwa ususiqe kabisa kwa kutumia ile move ya 2019 kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaaa
 
Mkisusia ccm wanachekelea, wanachukua ushindi kote.. Ni sawa tu na kususia shamba la mahindi kwa nyani, utakuta mabua tuu
 
Mkuu unachekesha ,wakisusia wale wapi?

Wako kichwa ngumu tu,wakati sheria ya vyama vingi inapitishwa,wabobezi wa siasa waliwambia wasikubali hadi marekebisho ya msingi yapitishwe lakini wakakimbilia ruzuku,na ndio mtego unawanyonga.

Na vibaraka wamejichanganya humo basi imetengezwa mseto wa aina yake.
 
CCM hawako tiyari kwa uchaguzi, kuna hujuma kali sana zinaendelea usiku na mchana na hazina mwisho na tutajuta mno kuingia kwenye huu uchaguzi, sioni mwanga, naona giza tupu, uhuni huu unaofanywa kwa sasa ni trela tu ya picha yenyewe hapo October...
Hatuwezi kumwachia nguruwe shamba la mihogo , bali ninachokifahamu ni kwamba uchaguzi huu waweza kuhitimisha nchi ya Tanzania
 
CCM hawako tiyari kwa uchaguzi, kuna hujuma kali sana zinaendelea usiku na mchana na hazina mwisho na tutajuta mno kuingia kwenye huu uchaguzi, sioni mwanga, naona giza tupu, uhuni huu unaofanywa kwa sasa ni trela tu ya picha yenyewe hapo October....
Kwa kweli hakuna haja ya kuendelea na mchakato huu dhalimu, vyama vya siasa vije na kauli moja: kutoshiriki mchakato hadi haki irejeshwe.
 
Kwa kweli hakuna haja ya kuendelea na mchakato huu dhalimu, vyama vya siasa vije na kauli moja: kutoshiriki mchakato hadi haki irejeshwe.
Mimi binafsi hata iweje kwa hali hii stapoteza muda wangu kwenda kupiga kura
 
Tatizo vyama vingi vya upinzani ni vibaraka wa CCM hapo wala hayupo wa kususia wanasubiri wapate pesa za kampeni maisha yaendelee

Hiyo ndio point mkuu. Hata vyama 18 vikijiunga na kususia, CCM akafanikiwa kushawishi mmoja kushiriki - uchaguzi huo unakuwa tayari ni halali.

Kama chama cha siasa kinajiita cha upinzani halafu kinafanya mkutano na kumpitisha mgombea wa CCM - chama hicho ni mshirika. Kisingekuwa mshirika, kisingesimamisha mgombea tu. Lakini endorsement kwa CCM ni ushirika.

Ninatamani tungekuwa na vyama vitatu tu!! Wingi wa vyama ni alama kukosa maridhiano na kuangalia maslahi!!
 
Ccm wanashangilia uhuni wa kuengua wagombea wa cdm na hakuna hata kiongozi mmoja wa serikali aliyekemea hili, ngoja tupandikize chuki, enyi watz wapenda haki usimsaidie yeyote unayejua ni mwanaccm hata kama ni ndugu zetu, ukipata gepu la kumwekea sumu Fanya hivyo ili afe, cdm tunalia kwa uhuni wanaotufanyia na sisi tuwalize kwa style hiyo
 
Nakuambiaje siku ya Uchaguzo sijui tutamlalamikia nani
Kwa kweli hakuna haja ya kuendelea na mchakato huu dhalimu, vyama vya siasa vije na kauli moja: kutoshiriki mchakato hadi haki irejeshwe.
 
Kuna mchongo wa kuzima mitandao siku ya uchaguzi na kukataza tv zote kuripoti yote yanayojiri vituoni. Ndiyo maana wameanza kuiazibu Clouds kwa kuripoti kitu kilichoripotiwa na wakurugenzi. CCM ni mdudu hatari sana
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom