Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,198
- 12,691
Hili suala halisemwi lakini lipo. CUF kilikuwa cha kizuri na tishio cha upinzani. Shida yake kilionekana kama kina sura ya kiislamu. CDM kukawa vizuri sana lakini kikawa kama kina sura ya kikristo.
Imekuja ACT wazalendo lakini kinaonekana kama cha Zanzibar na Pwani kwa waislamu.
Chama kuwa na sura ya watu wote ni muhimu, si kupata madaraka tu bali zaidi ni kutawala kwa amani.
Vyama hivi vinawezaje kuepuka hili? CCM kimewezaje kuwa na sura ya watu wote?
Tujadili kwa kujenga.
Imekuja ACT wazalendo lakini kinaonekana kama cha Zanzibar na Pwani kwa waislamu.
Chama kuwa na sura ya watu wote ni muhimu, si kupata madaraka tu bali zaidi ni kutawala kwa amani.
Vyama hivi vinawezaje kuepuka hili? CCM kimewezaje kuwa na sura ya watu wote?
Tujadili kwa kujenga.