Kila nikizipima siasa za vyama vya upinzani naona, siasa zao hazina tofauti na michirizi ya maji machafu, inajipitia tu, mpaka itengenezewe misingi ndio utaona inafuata njia na hizi njia huwa zinatengezwa na CCM, yaani kama ndege basi CCM wakimwaga machicha huku utaviona vyama hivi vinaelekea huko CCM wakibadilisha na kumwaga mtama upande mwengine utaviona vyama hivyo vyote vinaelekea huko,vimegeuzwa mwanasesere.
Kwa mtindo huu CCM mpaka watake wenyewe na kuwaonea huruma ndipo wanaweza kidoogo kupata vijinafasi vya ubunge na tumeona miaka iliyopita CCM waliachia na kuwapa sehemu kubwa ya viti vya ubunge matokeo yake vikanogewa na kujiona vina nguvu saaaaaaaanaa, CCM bila ya kuchelewa wakabana, matokeo tumeyaona jamaa hawajaambulia kitu.
Huo ndio ukweli msidanganye wananchi kama mna nguvu ya kisiasa.
Kwa mtindo huu CCM mpaka watake wenyewe na kuwaonea huruma ndipo wanaweza kidoogo kupata vijinafasi vya ubunge na tumeona miaka iliyopita CCM waliachia na kuwapa sehemu kubwa ya viti vya ubunge matokeo yake vikanogewa na kujiona vina nguvu saaaaaaaanaa, CCM bila ya kuchelewa wakabana, matokeo tumeyaona jamaa hawajaambulia kitu.
Huo ndio ukweli msidanganye wananchi kama mna nguvu ya kisiasa.