Vyama vya upinzani vimekufa au vimelala au vinasubiri uchaguzi mkuu utangazwe? Ndio wazuke na kudai tume huru na Katiba mpya, ile kasi imeenda wapi?
Mwisho wa siku mtaambiwa siku hazitoshi kwani uchaguzi unakaribia.
Tunahitaji muamko sio mgawanyiko katika madai husika ya Tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya, kama ni wasubiria ruzuku vunjeni vyama.
Mwisho wa siku mtaambiwa siku hazitoshi kwani uchaguzi unakaribia.
Tunahitaji muamko sio mgawanyiko katika madai husika ya Tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya, kama ni wasubiria ruzuku vunjeni vyama.