Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Lakini huko ndo wamechapika kimaisha hatari Hadi akili zimekaa sawa,awajaona faida yeyote zaidi ya kusomeshwaPia vigumu Raisi mgombea wa upinzani kushinda sababu hawana support vijijini ambako asilimia themani ya watanzania huishi na matawi ya vyama vyao upinzani hayapo