COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
CHADEMA, CUF, ACT,NCCR YAFANYIENI KAZI MAWAZO YANGU HAYA.
1. Igeni viongozi wa dini wanaolipia air time redioni/ television kufanya mahubiri. Hivi nyie mnashindwa kulipia airtime na mkanadi sera zenu na mikakati mbalimbali ya vyama vyenu? Hebu amkeni hela za ruzuku mnazopata mnaweza kabisa kulipia vipindi redioni na kwenye TV mkaendelea kujipambanua. Fanyeni POSITIVE CRITICS kwa serikali ila msiporomoshe matusi. Mkitukana tu itakula kwenu.
2. Tumieni Social medias mbalimbali kusambaza jumbe za msingi na hata kupinga yale yanayofanywa ndivyo sivyo na serikali. Mfano: Facebook ina watu wengi sana wa kawaida ambao ndiyo mtaji wa CCM...Msiidharau facebook...kuwafikia wananchi huko vijijini. Social medias zingine mnazijua na walengwa wake mnawajua. Amkeni.
3. Andaeni makala mbalimbali na mzipeleke zikachapishwe kwenye Magazeti yanayoheshimika. Kupitia hizo makala ujunbe kwa wananchi utawafikia tu.
4. Tengenezeni LIVE STREAMING kwenye youtube, Jamiiforums, n.k n.k ili huko pia muwe mnarusha mikutano yenu ya ndani ya kisiasa...wenye access na hizo medias nao watawapata.
5. Tengenezeni video/ audio clips mbalimbali muwe mnazirusha WhatsApp, Instagram, Twitter n.k n.k.
ANGALIZO: Epukeni matusi ili mpate wasambazaji wengi na uungwaji mkono na watu wengi katika siasa za sasa.
Hayo ndiyo mawazo yangu kwenu CHADEMA, CUF, ACT, NCCR.
1. Igeni viongozi wa dini wanaolipia air time redioni/ television kufanya mahubiri. Hivi nyie mnashindwa kulipia airtime na mkanadi sera zenu na mikakati mbalimbali ya vyama vyenu? Hebu amkeni hela za ruzuku mnazopata mnaweza kabisa kulipia vipindi redioni na kwenye TV mkaendelea kujipambanua. Fanyeni POSITIVE CRITICS kwa serikali ila msiporomoshe matusi. Mkitukana tu itakula kwenu.
2. Tumieni Social medias mbalimbali kusambaza jumbe za msingi na hata kupinga yale yanayofanywa ndivyo sivyo na serikali. Mfano: Facebook ina watu wengi sana wa kawaida ambao ndiyo mtaji wa CCM...Msiidharau facebook...kuwafikia wananchi huko vijijini. Social medias zingine mnazijua na walengwa wake mnawajua. Amkeni.
3. Andaeni makala mbalimbali na mzipeleke zikachapishwe kwenye Magazeti yanayoheshimika. Kupitia hizo makala ujunbe kwa wananchi utawafikia tu.
4. Tengenezeni LIVE STREAMING kwenye youtube, Jamiiforums, n.k n.k ili huko pia muwe mnarusha mikutano yenu ya ndani ya kisiasa...wenye access na hizo medias nao watawapata.
5. Tengenezeni video/ audio clips mbalimbali muwe mnazirusha WhatsApp, Instagram, Twitter n.k n.k.
ANGALIZO: Epukeni matusi ili mpate wasambazaji wengi na uungwaji mkono na watu wengi katika siasa za sasa.
Hayo ndiyo mawazo yangu kwenu CHADEMA, CUF, ACT, NCCR.