Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,535
sijawahi sikia mpinzani kuongea matusi ila wakiambiwa ukweli wao ni matusiMatusi??? Hivi ni lini mpinzani kaongea hawasemi ni matusi au uchochezi!!!!! Hivi unafkiri kauli za wanaccm mfano zanzibar haitolewi kwa makaratasi,tutashinda tu hata kwa goli la mkono,hakuna mwenye ubavu wa kumtangaza seif mshindi n.k zingetolewa na upande wa upinzani hivi wasingekuwa jela kwa kosa la uchochezi???
Wapinzani hawana lugha za matusi sema mkikosolewa mnaona kma mnatukanwa!! Funny